Saturday, March 16, 2013

Mwonekano wa mtoto wa Kanye na Kim atakapozaliwa

Ni Muafrika mu Amerika Kanye West huku Kim Kardasian ni mtoto wa kizungu yani mu Amerika mweupe ana matiti makubwa huku West akiwa na sura na mdomo mpana .Kim alishawahi kuigiza filamu ya ngono na msanii Ray J aliekua mpenzi wake wa zamani Kanye kaiona mara nyingi ila hajamwacha wala kuchukizwa naye bado anampenda kwa thati na anatarajia mtoto naye.Dunia bado ina maswali mwezi July atakapozaliwa mtoto wa wapenzi hawa maarufu wawili atakua na mwonekano upi.
                                         
 Nikollet Me'r'esz na Nickolay Lamm watafiti kutoka kutoka myvouchercodes.co.uk wamejaribu kuhisi jinsi gani mtoto wa Kanye na Kim atakavyokua katika umri wa miaka 25. Kama akiwa wa kike katika umri wa utoto atafanana na wazazi wake vitu kama nywele , rangi na sura kama hivi mtoto wa kike atakua na sura ya mviringo kama ya baba yake na wa kiume atakua na macho ya rangi na makubwa mchanganyiko kwa mama na baba yake huku nusu ya sura yake ikiwa sawa na ya Kanye West.
                                             
Katika umri wa miaka 25 watafiti hao wanazidi kunyambua mwonekano atakao kua nao mtoto wa wapenzi hao, wanasema Kim aliyejichubua sana uso wake kwa sasa huwezi kujua ataonekana vipi kama asingetengeneza uso wake ,anaonekana kama mtu wa mashariki ya kati kwa rangi yake kama ya muizraeli huku Kanye akiwa ngozi nyeusi hivyo mtoto wao anaweza akawa mweusi kuliko Kim lakini si mweusi sana na atakua na mchanganyiko  wa rangi za wazazi wake na mwonekano kama nywele za kishombe huko inasemekana kuwa hatofanana sana na Kim kutokana na ukweli kuwa Kim amerekebisha kwa kiasi kikubwa mwonekano wake kama kwa kufanyiwa upasuaji wa pua

0 comments:

Post a Comment