Friday, September 25, 2015

SIRI HUFICHULIWA NA MJASIRI WOGA UKIKITHIRI 3

SIRI HUFICHULIWA NA MJASIRI WOGA UKIKITHIRI.
SEHEMU YA 3
MTUNZI: JOSEPH SAMWEL.
MAWASILIANO: 0764217244.
EMAIL: josephsamwel484@gmail.com
popote haraka bila kupoteza muda fundi akuchezea spana Adam akapandisha sketi ndefu ya Irene hadi mapajani kwake kisha si akashika ile nguo ya mwisho kuvuliwa kabla hajaivuta mshituko ghafla haaaa,Hahahaha sio ulichofikiria ndio Adam kilimshitua bali ni hodi iliyosikika nje ya mlango wa chumba kile Adam haraka haraka akamwachia Irene ambaye naye aliwahi kushusha sketi yake ikae vizuri ajisitiri .Adam kufungua tu mlango kumbe ni kaka yake ndio alikua anagonga
Adam: vp tena mapema hii kuna kitu ulisahau au, sababu umekuja bila taarifa yani ungejua hesabu ilivyokuwa imekubali nilikua namfundisha Irene magazijuto.
Jimmy: sasa mdogo Wangu hizo magazijuto gizani kuna kuelewa kweli au , mi leo shambani kazi zilikua chache ndio maana unaniona mapema nimekuja kupumzika.
Irene: Shikamoo kaka Jimmy
Jimmy: marahaba Irene habari za nyumbani
Irene: nzuri mi naenda (huku akiondoka)
Jimmy :nisalimie wote nyumbani
Irene : sawa
Nafasi ya pili hiyo Adam kaikosa na mipango yake imefeli. Walipokutana Adam na Irene walichekana sana wakikumbuka walichotaka kufanya .Mipango mipya ya Adam ilipangwa sasa hivi Adam alipania kweli kweli haya Mungu Hamtupi mja wake Irene mwenyewe kajileta hadi kwao Adam kisha akaingia hadi ndani mida hiyo wazazi wa Adam walikua shambani na ilikua siku ya mapumziko kwa Adam hakwenda shule hivyo aliachiwa nyumba achunge. Akiwa bado haamini haamini hivi mara Adam akasikia
Irene: Adam Adam(Adam bado kashangaa)
Adam: naam unaniita, mawazo haya mabaya sana.
Irene: we mtoto mdogo nawe uwaze nini sasa sikia tumalizie pale tulipoishia siku ile tukashindwa.
Adam: wapi tena mi nimeshasahau
Irene:si hapa bwana njoo uone. 

Mungu wangu Adam alishituka mapigo ya moyo yakaongezeka kwa kile alichokiona kwa Irene ni kifua kilichozungukwa na miduara mithiri ya vifuu vya nazi vimechomoza vigumu kama mianzi haaa kweli Mungu kaumba dunia na maajabu yake Adam hakusita kuhakikisha kama sio feki  kwa kuyashika taratibu kwa mikono miwili asalale ni miguno ya aina mbali mbali ilitoka kwa kupokezana kama sauti ya kinanda kilichotoa mziki laini kwa kuwa mnazi haumshindi mkwezi vya wazi vililiwa na nzi Adam alipasua mbaazi we maumivu yake kama ajali ila kwa kuwa utamu ulizidi asali hakuna aliyejali watu waliendelea kula ugali.Hayo yakaishia hapo ila mwisho wa furaha ni majuto Irene alipokuja kugundua kwamba tayari kapoteza heshima  alilia sana kwa kuwa aliogopa wazazi wake hasa mama yake kama angegundua kwamba kafungua mlango wazi kabla ya mgeni hajaingia kwani enzi hizo msichana aliolewa akiwa na heshima yake na Irene alikua tayari ashaipote huo ndio ulikua mwanzo wa kumchukia Adam hata salam kukawa hakuna tena na misukosuko ndio ukapamba moto kwa Irene hajui wapi aanzie kitu kimoja tu ndio kilimrudisha Irene kwa Adam nacho kilikua ni ujauzito aliougundua wiki tatu baadae .Mama yake Irene aligundua dalili mapema kuwa mwanae alikua na ujauzito hatua iliyochukuliwa ilikua ni kumfahamu baba wa mtoto ili familia ya Irene isiaibike.Adam alikalishwa katikati ya kikao cha wazazi kumuhoji na kumkabidhi mke kwa sababu wakati ule ukimpa mimba binti kabla ya ndoa ulikabidhiwa binti umuoe kwa lazima.Hicho ndicho alichoambiwa Adam na wazazi wa pande zote mbili aisee kwake lilikua swala gumu sana na Adam alivyokua akipenda shule hakuwa tayari kuiacha na kuanza maisha ya kuwa baba na kulima.Hivyo alipanga atoroke na kwenda mjini ili kuepukana na dhama hiyo aliyoileta. Jimmy ndiye aliyesuka mipango ya kumtorosha Adam usiku wa manane na kumpeleka mjini 

0 comments:

Post a Comment