Monday, September 25, 2017
Wednesday, September 28, 2016
Thursday, October 15, 2015
SIRI HUFICHULIWA NA MJASIRI WOGA UKIKITHIRI 24
October 15, 2015
No comments
SIRI HUFICHULIWA NA MJASIRI WOGA UKIKITHIRI
SEHEMU YA 24
SEHEMU YA 24
Martha mi sitakufanya
chochote ila naomba uniambie ukweli wote , iiiiii huku akilia Martha alisema
Baba naomba unisamehe sana kweli mi nina ujauzito wa miezi miwili , vipi baba
wa mtoto unamjua , ndio namjua baba, sasa naomba tufanye hivi naomba umwite
baba wa mtoto tuje tuonane naye ili tumuulize kama atakubali kuwa mtoto wake
maana vijana wa siku hizi tabia zao kukataa ujauzito, haya baba nitamtafuta na
kumwambia. Kweli Martha alimpigia simu Vatican na kumwambia haloo , halo mpenzi
Martha mambo , poa za kwako , ni nzuri tu vipi tena mpenzi wangu unataka tutoke
out kesho au, hapana sio hivyo , sasa ni vipi , Vatican naomba unisikilize kwa
makini sana hiki ninachotaka kukwambia , kipi tena Martha mbona unataka
kunishitua au umefaulu mtihani wa form four , hapana sio hivyo bali hiki ni
kitu muhimu sana kwa kweli nilishindwa kukwambia ila naona ni muda muafaka
kusema ukweli tu , ukweli upi tena mbona unazidi kunichanganya sana mpenzi
wangu , sio nakuchanganya ukweli ni kwamba mimi nina ujauzito tena wa miezi
miwili, aaaaah wa kwangu au , ndio wa kwako , weweeeeeee weweeeeeee natamani
hata ningekua karibu hapo nikakukumbatie balaa aisee Martha ahsante ahsante
sana sana sana siamini kama naenda kuwa baba ahsante , we mbona umeshangilia
hivyo , nimefurahi sana mpenzi wangu kuniletea mtoto , we unaona raha eeh je
mimi ninavyoumia , aaah basi pole pole mpenzi wangu najua ujauzito unaumiza ila
jikaze nipo pamoja nawe, ahsante halafu kuna kitu nataka kukwambia tena lipi
tena hilo mimba imetoka au , bora hata lingekua hilo , bora , ndio hivyo bora
sababu hili ndio baya yani baba anahitaji kukuona , nini , hujasikia baba
anataka kukuona , baba yako Martha acha utani wewe , utani ndio ukweli wenyewe
, sasa nakwendaje na lini , hahahaha ulishaogopa kukutana na baba mkwe ndio
utakoma sijui utaongea nini , duu hayo hayo nitakayoongea , hahahahahaha hapo
kiroho kimeshakudunda , mmh kweli , sasa kesho uje nyumbani najua hupajui hivyo
nitakuelekeza ufike sawa , sawa. Basi Vatican hakusita kuonyesha furaha yake
kwa kumwambia ukweli mama yake ila kama unavyojua wakinamama hua hawakubali hivi
hivi Irene alikasirika kidogo kisha kwa kuwa mtoto mwenyewe mmoja hakuwa na cha
kupingana naye lakini aliamua kumwambia mwanae Vatican waende wote ili naye
akamuone mkwe wake na wazazi wenzake kweli siku ilipofika Vatican na mama yake
walielekezwa na Martha na kufika kwao Martha.Hodi humu hodi mpaka ndani karibu karibuni sana
ndivyo Vatican na Mama yake walivyokaribishwa na Martha huku ndani mzee Adam
alikua kapumzika chumbani kwake kisha kauli ya Martha ndio ilimshitusha Vatican
, jamani karibuni sana waaao mwalimu Irene siamini kama ni wewe shikamoo ,
marahaba eehee za wapi tena siku hizi , za hapa hapa mwanza mi ndio nimemaliza kidato cha nne mwaka
jana na sasa nipo nyumbani nasubiri majibu , Irene huku akimkejeli Martha na
kumshika tumboni akasema majibu yenyewe ndio haya ya kutanguliza tumbo mbele ,
eeeh ndio hayo au , aaah hili tumbo ni majibu ya huyo kijana uliyekuja nae vipi
mnafahamiana, kufahamiana! huyu mtoto wangu wa kuzaa tufahamiane vipi tena ,
kumbe mwanao sikujua kama mwalimu Irene mwanao ndio atakuja kuwa na mimi , ndio
utegemee sasa , basi tuachane na hayo karibuni sana sijui mtapendelea kinywaji
kipi kuna maji ,soda, soda kubwa au maziwa, chochote mimi natumia kasoro hiyo
soda kubwa labda huyo baba mtoto wako ndio umuulize , aaaah huyu najua ,
Vatican akadakia , nakunywa nini , siri yangu we subiri haya ngoja niwaletee
nikamwamshe na baba alikua kapumzika kidogo ndani si unajua leo weekend haendi
kazini hivyo nipo naye nyumbani tu . Martha aliondoka na kuwafuatia vinywaji
huku Irene na Vatican wakawa wanaongea we huyu binti umempata wapi , aaah mama
tulikutana naye Dar , anhaaa ndio uliyokwenda kusoma Dar hayo ya kuwapa mimba
watoto wa watu , aaaah mama nawe mambo gani tena hayo mimi si nilienda chuo
kabisa , sasa si ndio mliyofundishwa haya kumbe ndio maana mtoto shida zilikua
haziishi mara oooh mama nataka laki tatu ya dom mara kuna mchango wa mlango
mara aisee kumbe huyu ndio alikua amekuteka akili na kwa taarifa yako huyu
unakaa naye kwako mwenyewe na mimba unalea mwenyewe sio kwangu mi sitoi misaada
, mama mbona umefika mbali hivyo nimeshakwambia ni bahati mbaya tu hiyo wala
hata yeye alikua hajui kama ana ujauzito hadi alipoenda hospitali sasa kama we
unanitenga sa hivi mi nifanyeje basi acha mi niondoe usumbufu kwa kujiua tu
sasa sina jinsi mi nitamleaje huyo hata kwangu tu sina, aaaa basi basi mwanangu
nawe hutaniwi usihofu mi nipo nawe pamoja ngoja tuwasubiri tuone wataamua nini
eehehee tena hawa hapo wanakuja. Ni Martha alileta vinywaji na mzee Adam
alifika na kuketi ,Vatican alimsalimia kwa uoga sana ila alishangazwa na
mapokeo ya mama yake kwa mzee Adam ghafla Irene alishituka badala ya kumpa
salamu Adam alimshangaa kisha akamuita mara tatu Adam , Adam , Adam , naye
akaitikia naaam , huyu ni binti yako , ndio ni binti yangu mtoto pekee aliyeachwa
na marehemu mke wangu Dayness Mungu ailaze pema roho yake , Irene aliongea kwa
sauti kubwa na ya mshangao Mungu wangu , Adam akajibu nini ? Tumekwisha tumekwisha tumekwisha Adam , tumekwisha ,
kuhusu nini Irene mbona sikuelewi , Adam haya yote uliyataka wewe usingenitelekeza
peke yangu na ujauzito wako kijijini ona sasa umewaoanisha kaka na dada bila
kujua laana laana hizo Adam huyu hapa (huku akimshika Vatican) ni mwanangu
Vatican ambaye pia ni mwanao ulienitelekeza nikiwa na mimba yake kijijini nimemlea mwenyewe
hadi akakua hamjui baba yake kisha wewe unanichanganya kwa kuniambia eti Martha
ni mtoto wako kumaanisha na Vatican ni mwanao pia hivyo Martha ni dada yake na
Vatican mbona kasheshe hili jamani. Aliposema hayo kila mtu Martha na Vatican
wakaanza kulia huku wakiwa na wazazi wao wakiwangangania wawathibitishie kuwa
hilo jambo lilikua si la ukweli bali ni mbinu za kuwatenganisha, alianza Martha
akimtikisa baba na kusema baba baba tell me what she is saying is not true
please niambie baba kama mmepanga njama ya kututenganisha please baba please
niambie Adam hakusema kitu chochote kwa mwanae Martha bali kimya ndio
kilitawala. Vatican naye akamuuliza mama yake , mama huyu ndio baba yangu
uliyekua unaniambia au , ndio mwenyewe baba yako kabisa mzazi mzee Adam kwani
we kipindi unakutana na mpenzi wako sorry dada yako hukutaka kujua kwao wala
wazazi wake nyie vijana wa siku hizi bwana mkikutana tu huko mnakokutania
mkatongozana basi ndio imetoka hutaki hata kujua kwao na wazazi wake , aaah
mama sio hivyo hata kama ningewajua wazazi wake ningejuaje kama baba yake ni
baba yangu kama hukuniambia , basi ndio hivyo imeshatokea na huyu ni dada yako,
mama mimi siamini kabisa Vaticani alitoka na kwenda nje huko akaanza kujisemea
Yani siamini kama Martha dada na ndio namkosa hivi hivi na hiyo mimba huyo mtoto ataniita nani
baba au mjomba haya maneno alijiuliza Vatican nje ya nyumbani kwao Martha huku machozi yakimtiririka huko ndani napo kila mtu kimya kilitawala Martha ndio kabisa alishindwa kuvumilia na kwenda kujifungia chumbani. Huko chumbani Martha alichukua shuka lake la kujifunika na kulifunga kwenye feni iliyokua juu ya chumba chake kisha akajifunga shingoni na taratibu akajinyonga hadi kufa mzee Adam alipoona kimya alikwenda kwenye chumba cha Martha na alipofungua mlango akakuta umefungwa Adam aliuvunja na kuingia kisha hakuamini alichokiona Martha akiwa amenin'ginia kwenye feni kwa juu kajinyonga kwa shuka Adam alipiga kelele za kilio cha uchungu hadi Irene na Vatican wakakimbia kwenda huko mama yangu Vatican alipo uona mwili wa Martha akiwa amekufa alilia sana na kutoka nje Adam aliishiwa nguvu na kwa mshituko alidondoka chini na kupoteza maisha Vatican na mama yake Irene walibaki peke yao wakiwa na majonzi ya kupoteza wapendwa wao bila kujua hatima yao ya maisha.
baba au mjomba haya maneno alijiuliza Vatican nje ya nyumbani kwao Martha huku machozi yakimtiririka huko ndani napo kila mtu kimya kilitawala Martha ndio kabisa alishindwa kuvumilia na kwenda kujifungia chumbani. Huko chumbani Martha alichukua shuka lake la kujifunika na kulifunga kwenye feni iliyokua juu ya chumba chake kisha akajifunga shingoni na taratibu akajinyonga hadi kufa mzee Adam alipoona kimya alikwenda kwenye chumba cha Martha na alipofungua mlango akakuta umefungwa Adam aliuvunja na kuingia kisha hakuamini alichokiona Martha akiwa amenin'ginia kwenye feni kwa juu kajinyonga kwa shuka Adam alipiga kelele za kilio cha uchungu hadi Irene na Vatican wakakimbia kwenda huko mama yangu Vatican alipo uona mwili wa Martha akiwa amekufa alilia sana na kutoka nje Adam aliishiwa nguvu na kwa mshituko alidondoka chini na kupoteza maisha Vatican na mama yake Irene walibaki peke yao wakiwa na majonzi ya kupoteza wapendwa wao bila kujua hatima yao ya maisha.
KWELI SIRI HUFICHULIWA
NA MJASIRI WOGA UKIKITHIRI.
KIJANA POPOTE ULIPO PINDI UNAPOMPA MIMBA BINTI YOYOTE HATA KAMA UNAHISI SIO YA KWAKO TAFADHALI USIIKATAE WALA KUMTELEKEZA MAMA MJAMZITO NA KUANZA MAISHA YAKO BINAFSI BALI MJALI NA KUBALI KILA KITU KWANI HUWEZI KUJUA UKIFANYA HIVYO BAADAE MATATIZO KAMA HAYA YA KWENYE TAMTHILIA HII YANAWEZA KUKUPATA NA CHUNGA SANA KWANI SIRI HUFICHULIWA NA MJASIRI WOGA UKIKITHIRI.
KIJANA POPOTE ULIPO PINDI UNAPOMPA MIMBA BINTI YOYOTE HATA KAMA UNAHISI SIO YA KWAKO TAFADHALI USIIKATAE WALA KUMTELEKEZA MAMA MJAMZITO NA KUANZA MAISHA YAKO BINAFSI BALI MJALI NA KUBALI KILA KITU KWANI HUWEZI KUJUA UKIFANYA HIVYO BAADAE MATATIZO KAMA HAYA YA KWENYE TAMTHILIA HII YANAWEZA KUKUPATA NA CHUNGA SANA KWANI SIRI HUFICHULIWA NA MJASIRI WOGA UKIKITHIRI.
Tuesday, October 13, 2015
SIRI HUFICHILIWA NA MJASIRI WOGA UKIKITHIRI 23
October 13, 2015
No comments
Siri hufichuliwa na mjasiri woga ikikithiri
sehemu 23
sehemu 23
Dayness alichukua sumu ya unga ya panya na
kuchanganya na juisi aliyokua nayo kisha akainywa haikuchukua muda kufanya kazi
Dayness aligaagaa huku na kule akihangaika chini kwa muda kisha akatoa povu
jeupe mdomoni na kukata roho maskini Dayness alijiua. Ilikua huzuni majonzi na vilio kwa familia ya Mzee Adam ndugu jamaa na
marafiki wa karibu taratibu zote za mazishi zilifuatwa Dayness alizikwa . Irene
alipata taarifa za msiba ila hakuhudhuria kwani alijua kuwa maneno na ukweli
aliomwambia Dayness ndio ulimfanya ajiue kwa kujiona kuwa yeye Irene alikua ni
chanzo cha kifo Dayness hivyo ilibidi Irene aseme
ukweli wote kuhusiana na maisha yake na alianza na mwanae Vatican na alimwambia
hivi , mwanangu kuna kitu nataka kukwambia na naomba ukishike sana kwa kuwa ni
muhimu sana na unisamehe pale nitakapokuumiza hisia zako , mama ni nini tena
hicho naomba uniambie , ni kuhusu maisha yako na ukweli kuhusu baba yako ukweli
ni kwamba Marehemu mzee Shaban alale pema alikua mtu mwema na alikupenda sana
ila hakuwa baba yako mzazi , sasa mama mbona unanichanganya baba yangu mzazi ni
nani , huko ndipo ninapoelekea mnamo miaka 25 iliyopita baba yako mzazi
alinitelekeza na ujauzito wako kisha akakimbilia mjini mimi nilitengwa na jamii
nzima pamoja na wazazi wangu ila mzee Shabani pekee ndio aliniona na kunisaidia
kwa kunioa na kuwa mke wake wa tatu hapo ndipo maisha yangu yalinyooka na
kumsahau kabisa baba yako ila yupo na tupo naye hapa Mwanza anaitwa mzee Adam
ni muhasibu wa TBL ila sasa ana matatizo kidogo akiwa sawa nitakupeleka
ukamuone samahani sana mwanangu kwa kukuficha ukweli , hapana mama pole kwa
yaliyokukuta sikuyajua ila ukipata muda utanipeleka nikamuone, haya sawa baba.
Huku kwa mzee Adam mazishi yaliisha na kifo cha Dayness kilikua kama mwanzo
mpya katika maisha ya Adam kwani Adam sasa alimpenda mwanae alirudi kazini na
alijirekebisha tabia kwa kuacha pombe alijua kama mke wake angekuwepo angependa
mume wake awe na tabia nzuri za hivyo sasa ulikua ni upweke katika familia
nzima ya Mzee Adam ila kwa kuwa waliungana wawili yeye na mwanae waliishi kwa
amani upendo . Kisha Irene alichukua hatua kubwa zaidi ya kwenda kumwambia
Humphrey ukweli wote kuhusu maisha yake na mahusiano yake ya zamani na Adam huu
ulikua ni ujasiri wa hali ya juu hapo alikutana na Humphrey na kuanza kumwambia
hivi , habari yako Humphrey , nzuri tu mpenzi wangu habari ya kwako (huku
akiweka mkono begani kwa Irene) Irene aliutoa mkono na kisha kumwambia Humphrey
, nina kitu muhimu sana nahitaji kukuambia , kipi tena hicho au unataka tuoane
sa hivi, hapana sio hivyo ila ni kitu muhimu sana katika maisha yangu mimi
kabla ya kuwa nawe niliwahi kuwa na mpenzi na nilizaa naye mtoto mmoja ambaye
ninaye kama hufahamu hilo na baba wa mtoto huyo nininini ni rafiki yako kipenzi
Adam ndio alikua mpenzi wangu wa zamani na hadi sasa alikua bado ananipenda ila
mi nilimkatalia na kukukubalia wewe ilikua ni sababu ili nimuumize tu Adam na
kulipiza kisasi ila ki ukweli naomba msamaha kwa kuwa mimi sikukupenda kwa
dhati , Irene siamini kama unanitenda hivi kweli yani mi
niliamini nimepata mke wa kumuoa kumbe aisee kwa hiyo ndio tumeachana au yani
Irene ukiniacha unanikumbusha maumivu ya marehemu mke wangu , Humphrey mimi
kuwa na wewe haiwezekani kwa kweli yani ni kama kulazimisha pikipiki kuwa gari
naomba samahani sana , Irene alimuacha Humphrey na kuondoka zake dah Humphrey aliumia sana ila ndio hivyo
hakuwa na jinsi ya kufanya alijikaza kiume tu , huku kwa Martha zilitokea
dalili ambazo zilimshitua sana alianza kutapika na kujisikia vibaya hivyo
akaamua kwenda hospitali kujua nini kilimsumbua kiafya ndipo alipopata jibu
lililomshitua sio tu kiakili bali ilikua ni mabadiliko ya kimwili " umia
ujae " ndiyo kilichomtokea Martha alikua na ujauzito kama wa wiki zipatazo
mbili hivi aaaaaah aliona hata aibu kumwambia ukweli baba yake na baba mtoto
wake Vatican ilikua ni kipindi kigumu sana kwake ila bahati mbaya tumbo hua
halifichiki ndipo mzee Adam akaanza kuona dalili kisha akaamua kumuuliza ,
Martha mama njoo maramoja kuna kitu nataka kukuuliza , shikamoo baba , marahaba
habari yako , nzuri tu baba , ila mimi naona sio kama nzuri sana , kwa nini
unasema hivyo baba , mama naona mabadiliko sana katika mwili wako wala sio
unene huo hayo ni mabadiliko makubwa Martha mi sitakufanya chochote ila naomba
uniambie ukweli wote
SIRI HUFICHULIWA NA MJASIRI WOGA UKIKITHIRI 22
October 13, 2015
No comments
Siri hufichuliwa na mjasiri woga ukikithiri
Sehemu ya 22
Sehemu ya 22
basi Dayness alikwenda na wazo la kuiokoa ndoa
yake aliwaza aende kukutana na Irene na kuongea naye kwani alihisi kuwa Irene
alikua chanzo cha mume wake kuwa hivyo . Kweli Dayness alifika nyumbani kwa
Irene na alikaribishwa na Vatican , hakujua kwamba Vatican alikua mpenzi wa
mtoto wake Martha kweli Dayness alikaribishwa ndani na kumkuta Irene , Vatican
aliwapisha waongee , Dayness akaanza ,dada huyo ni kijana wako , ndio kijana
wangu wa kwanza anaitwa Vatican kamaliza chuo mwaka huu bado yupo nyumbani
hajapata kazi si unajua ajira kwa vijana siku hizi ngumu , kweli kabisa dada ,
aisee samahani dada nimeshasahau utatumia kinywaji gani , hapana samahani wala
usihofu nipo sawa kabisa, usione aibu hapa ni nyumbani , hamna tabu sema tu
kuna jambo nataka kukuuliza dada , upo huru sema tu dada , nilikua nasema hivi naomba uwe mkweli dada sababu hili swala ni kubwa sana na na linahitaji
ukweli kwa kweli mume wangu siku hizi amechanganyikiwa kabisa tokea Humphrey
atangaze kukuoa mume wangu Adam kabadilika sana kitabia yani kama taarifa za
ndoa yako zilimuwehusha kabisa na mi kwa muda mrefu nilihisi mabadiliko kutoka kwa
mume wangu hakunipenda kama alivyonipenda zamani
haki ya ndoa ilikosekana hata na salamu pia baya zaidi ni pale alipojiunga na
unywaji wa pombe ndio akawa anarudi saa nane yani ndoa yangu iliteteleka sana
sana dada nimeumia sana hadi sasa hivi kazi kaacha dada kama unahusika kwa
lolote tafadhali naomba umuachie mume wangu niachie mume wangu nampenda sana
dada tafadhali Dayness aliongea hayo huku machozi yakimbubujika katika paji
lake jeupe la uso kama mtu angeweza kukinga kikombe basi machozi yale yalikua
mengi yangeweza kujaza jagi kabisa kisha baada ya kukaa muda mfupi akiwa kimya
Irene alimjibu, dada pole na samahani
sana kwa hilo ki ukweli mimi naomba nikueleze hivi huyo kijana unayemuona hapo
ni mtoto halali wa Adam anaitwa Vatican mimi na Adam tulikua wapenzi tulipokua
watoto kijijini tulipozaliwa Igombe kisha tukiwa bado tunasoma Adam alinipa
ujauzito na kisha akaniacha na kukimbilia mjini mimi huko kijijini shule
niliacha wazazi wangu na jamii ilinitenga nikaishi peke yangu na tumbo langu (
huku akilia)kwa kweli dada niliteseka nan niliumia sijapata kuona hadi pale
alipotokea msamaria mwema mzee Shaban aliyeahidi kunioa na kurudisha heshima
yangu hapo ndipo nilianza mwanzo mpya wa maisha yenye furaha mimi na mwanangu
kisha nilijiapia sitomtafuta wala kumwambia chochote Adam kuhusu taarifa zangu
na mtoto na yeye tangu akimbilie mjini hakuwahi kurudi mimi nilipohamia mjini
baada ya mume wangu kufariki na kuniachia urithi ulioniwezesha kuanza maisha
mapya huku mjini na ndio hadi sasa nipo hapa mara ya kwanza nakutana na Adam
alinishangaa na kisha kadri siku zilivyozidi kwenda aliniomba msamaha na
kunitamkia kuwa alikua bado ananipenda ila mi nilimkatalia na kumwambia kuwa
anaweza kuwa rafiki tu basi kwa ufupi ndio hivyo ,dada kumbe Adam ana mtoto mkubwa
hivi na hakuwahi kuniambia , pole sana dada hayo yalikua ya zamani , ila
madhara yake yanaonekana sasa hivi dada kumbe mimi ndio niliharibu mapenzi yenu
kwa kuingilia kati , hapana dada hapana , usifiche ni ukweli mtupu isingekua
mimi kuolewa na Adam angekua tayari ameshakutafuta na mngerudiana , hapana dada
achana na mawazo hayo we jaribu kumjenga mume wako kisaikolojia anisahau mimi ,
sasa nitafanyeje, mimi nitakusaidia kwa kuhama mji huu ili mume wako asiwe
ananiona , basi dada ni hayo tu mi naomba niondoke , jamani karibu tunapika ,
ahsante kwaheri, haya kwaheri. Dayness alipofika nyumbani akili yake ilimtuma
kuwa yeye ndio alikua chanzo cha yote hayo yani isingekua yeye Adam na Irene
wangekua hawana matatizo wala mapenzi yake yeye na Adam yasingekuepo na
asingeumia hivyo alijilaumu sana na kisha akachukua maamuzi magumu , chumbani
alipokuwapo alimuita Martha na kumuhusia mambo yote kuhusu mapenzi na mahusiano
kwamba hata siku moja asijaribu kuchukua mpenzi wa mtu mapenzi yanaua kisha
alimtuma Martha Juisi ya matunda na Martha alipoleta Dayness alimkumbatia
Martha kwa nguvu yapata dakika nzima huku akitokwa machozi Martha aliuliza kama
kuna tatizo na mama yake alisema hapana kisha Dayness alimtuma Martha sokoni
amfuatie matunda Martha alipotoka tu ndani na kuondoka Dayness alichukua sumu
ya unga ya panya na kuchanganya na juisi aliyokua nayo kisha akainywa
haikuchukua muda kufanya kazi Dayness aligaagaa huku na kule akihangaika chini
kwa muda kisha akatoa povu jeupe mdomoni na kukata roho maskini Dayness alijiua
Sunday, October 11, 2015
SIRI HUFICHULIWA NA MJASIRI WOGA UKIKITHIRI 21
October 11, 2015
No comments
SIRI HUFICHULIWA NA MJASIRI WOGA UKIKITHIRI
SEHEMU YA 21
SEHEMU YA 21
Dayness kwa Irene kwamba ndio mke wake na
Dayness hakusita kumuomba msamaha Irene kwa kitendo alichomfanyia , Dada
samahani sana naomba radhi jana kwa mambo niliyokufanyia , usihofu dada hakuna
tatizo, wote wakakaa na kujumuika pamoja kwa chakula cha jioni hapo walipiga
stori na kubadilishana mawazo kila mtu akiwa na mwanamke wake ila kumbe ule
ulikua ni mpango wa Adam kumweka sawa mke wake Dayness na aache wivu wake Ila pia taarifa mbaya kwa Adam zilikua ni hizi siku hiyo ni pale
Humphrey alipopiga magoti chini na kutoa kiboksi kilichokua na pete ndani yake
akiwa amemshika mkono Irene na kuelekeza kabisa pete ile karibu na kidole cha
Irene huku akisema maneno haya , Irene will you marry me , Irene alikaa kimya
kidogo kumuangalia Adam alikua ameinamisha kichwa chini huku kamshika mkono mke wake
kisha baada ya kufikili kidogo Irene alikisogeza kidole chake hadi kikatosha
kabisa kwenye ile pete na akajibu ndiyo huku akimnyanyua na kukumbatiana na
Humphrey, kweli mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu aisee Adam aliumia
sijapata kuona hadi mke wake akashitukia kidogo, kisha wakiwa na furaha huku
wakiwa wamekumbatiana na kushikana mikono Humphrey na Irene walishitushwa na
kauli ya rafiki yao Adam alipoaga na kuomba eti awaache wafurahie siku yao
hahahaha kweli mpenzi yanaumiza Adam aliumia sana kuendelea kukaa pale hivyo
aliona bora aondoke asiendelee kuumia pia kitu hicho kilikua nje ya mpango wao
na Humphrey hivyo aliona Humphrey kama amemsaliti kwenye mpango waliopanga na
njia pekee ilikua kuondoka na kuumia mwenyewe nyumbani kweli alimchukua mke
wake wakaaga na kuondoka , Humphrey yeye kwake furaha tupu na kisha akaagana na
Irene wakaachana.Irene alipokua peke yake aliwaza na kujua kuwa alikua
anachezea tu hisia za Humphrey ili kumuumiza Adam kweli dunia hii unaweza hata
ukamuoa mwanamke na kuishi naye na mkazaa naye kumbe hakupendi alifanya hivyo
tu kumuumiza mtu mwingine ambaye aidha ni mtu wa karibu yako sana na anawaona
na anaumia sana ndivyo mzunguko wa maisha ulivyo na watu baadhi hupitia huko.
Adam aligeuka na kuwa kama chizi sasa nadhani alifunga ndoa na baa kabisa kwani
Adam alikua mlevi wa kupindukia alirudi usiku wa manane upendo tena kwa mke
wake uliisha kabisa hata mtoto wake tu Martha hakumjali yani alichanganyikiwa
hata sijui mfano wake nisemeja kazini aliacha kwenda na siku moja Humphrey
alimtembelea kumpa kadi ya harusi yake nadhani hapo ndipo Adam alipotaka kufa
kabisa Dayness aligundua kuwa mume wake hakuwa sawa na mwanamke mwenye mapenzi
mema na mume wake hutafuta chanzo cha tatizo na kuiokoa ndoa yake hata kwenye
biblia imeandikwa mwanamke mwerevu huiokoa ndoa yake bali mpumbavu huiangamiza
, basi Dayness alikwenda na wazo la kuiokoa ndoa yake aliwaza aende kukutana na
Irene na kuongea naye kwani alihisi kuwa Irene alikua chanzo cha mume wake kuwa
hivyo . Kweli Dayness alifika nyumbani kwa Irene na alikaribishwa na Vatican ,
hakujua kwamba Vatican alikua mpenzi wa mtoto wake Martha.
SIRI HUFICHULIWA NA MJASIR WOGA UKIKITHIRI 20
October 11, 2015
No comments
SIRI HUFICHULIWA NA MJASIRI WOGA UKIKITHIRI
SEHEMU YA 20
SEHEMU YA 20
Dayness aliyekua anamfuatilia mume wake kuwa
wapi hua anakwenda ili ajue ni nani anayemuharibia mume wake hadi mapenzi yao
yanapungua alifika , alipofika tu hakuamini alichokiona machoni kwake Dayness
hakuweza kuizuia hasira yake na kumpalamia Irene kwa vibao na magumi Adam
alijitahidi kumzuia sana Dayness asimfikie wala kumuumiza Irene ila
alichoharibu zaidi ni pale Adam alipomshikilia Irene badala ya mke wake Dayness
hapo ndipo Dayness alipatwa na hasira zaidi na kuondoka katika maeneo hayo Adam
alimuomba Irene radhi na kumkimbilia Dayness. Dayness alikimbia kwa haraka kwenye gari lake na kuondoka Adam naye hakusita
kumfuatilia mke wake hadi nyumbani .Dayness aliendesha gari ovyo sana wakati
akienda nyumbani nusura amgonge mtoto wa shule kwa mwendo kasi aliokua nao ila
akamkwepa na yeye kwenda kugonga nguzo ya umeme iliyokua kandokando ya barabara
, kama uliwahi kusikia mapenzi yanaua na
ukajiuliza maswali mengi sana ni kivipi mapenzi yanaua basi hii ndio njia
mojawapo ya mapenzi yanavyoua. Mungu saidia Dayness akatoka mzima wa afya
haraka alikimbia na kulitelekeza gari lile na kupanda daladala alipofika
nyumbani kila kitu kilichokua mbele yake alikitupa na kuharibu haribu kisha
akaenda chumbani na kuweka nguo zake zote akiwa aliye dhamilia kuondoa ila
akiwa anaendelea Adam akafika , Mke wangu mke wangu Dayness sikiliza basi mke
wangu eeeh nisikilize basi usije ukajutia baadae maamuzi unayoyafanya na
kumuumiza mtoto wetu Martha hebu nisikie basi , Dayness aligeuka huku akilia na
amsikilize Adam anasema nini na Adam akaendelea , ulichokiona mama Martha sio
unavyofikilia huyo ni Irene mwalimu wa Martha wa kitangiri pia ni mpenzi wake
Humphrey yule rafiki yangu kipenzi sasa hapo alikua ananielezea kuhusu ugomvi
wao na Humprey sasa nikawa nampa pole ndio wewe ukaja hebu fikiri ni miaka
ishirini na kadhaa tupo pamoja sasa sijawahi kukudanganya wala kukuumiza iweje
leo unifikilie vibaya au hatuaminiani mke wangu siku hizi , Dayness huku
akifuta machozi alikua kama aliyeridhika na jibu la mume wake na kwa upole
akajibu, basi sawa mi nilijua labda ndio umeniacha sababu siku hizi sikuelewi
kabisa haki yangu ya ndoa hunipi salamu imekua tabu au tuna ugomvi, hapana
hapana mke wangu ni matatizo madogo madogo yalinipata kazini ndio maana nilikua
hivyo , sasa mimi si ni mke wako unashindwa nini kuniambia matatizo yako
tukasaidiana, eeeeeeeh basi basi mke wangu usihofu hayo matatizo madogo sema
sasa au twende sa hivi eeeh mke wangu , mmmh kukwambia tu tayari ulishataka, si
umeomba mwenyewe , we naye huzeeki , aaah wapi ng'ombe hazeeki maini wewe sema
kama upo tayari , haya basi sawa njoo. Ugomvi huo ulisha hivyo na Adam
akafanikiwa kuiokoa ndoa yake kwa muda kisha kesho yake alimwelezea rafiki yake
Humphrey yaliyomkuta kisha Humphrey aliwaalika Adam na Dayness kwenye chakula
cha jioni huku yeye akiwa amemualika Irene wote walikutana kwenye meza moja na
kusalimiana kwa pamoja kabla hawajaendelea Adam alichukua nafasi hiyo
kumtambulisha Dayness kwa Irene kwamba ndio mke wake na Dayness hakusita
kumuomba msamaha Irene kwa kitendo alichomfanyia.
SIRI HUFICHULIWA NA MJASIRI WOGA UKIKITHIRI 19
October 11, 2015
No comments
SIRI HUFICHULIWA NA MJASIRI WOGA UKIKITHIRI
SEHEMU YA 19
SEHEMU YA 19
wewe kama mtu mzima ulishajua nini kilichoendelea hahahahaha jiongeze mkubwa hayo ndio
yaliyoendelea huko. Vatican naye nyumba yake ilianza kuteteleka sijui ni sababu
ya Irene baada ya kumuona yani mapenzi yake kwa Dayness yalianza kupungua muda
mwingine hata kusalimiana ilikua tabu na haki ya ndoa ilipungua na kukosekana
kabisa siku nyingine ilikua sio kama zamani alivyokua na mapenzi kwa mke wake
maskini Dayness alihisi kuachwa kabisa ila kama kawaida ya wanawake hua
hawaachi kufuatilia chanzo ni nini siku moja akamfuatilia mume wake anakwenda
wapi siku moja Adam alimuomba Irene wakutane kuna kitu anataka kumwambia kweli
kwa kuwa Adam alikua mzazi mwenzie Irene hakukataa kuonana naye na alijua ni
kitu cha kawaida sana basi muda ulipofika kweli walikutana pale pale kwenye
hoteli yao walipokua wanakutania Irene alikuja kwa muda muafaka waliopangiana
wakutane kila mtu akaagiza huduma yake aliyoiitaji na kuanza maongezi Adam
hakusita kuanza na salamu , za saizi , salama, habari za kazi , mmmmh ni nzuri,
pole na kazi , ahsante , naomba radhi kwa kukupotezea muda wako , hapana wala
haina shida kabisa kumbuka nilikuhakikishia kuwa utakua rafiki yangu hivyo
sioni tabu au shida kuongea nawe, aaa basi sawa ila naomba hili jambo
ninalotaka kukwambia ulichukulie umuhimu sana na unijibu ipasavyo , jambo lipi,
kiukweli mimi nilikua napenda uniambie kama mwanangu ulijifungua au alikufa
niwe na uhakika kabisa , Irene alikaa kimya kwa muda kisha akaguna kama
aliyekua anavuta pumzi kusema kitu huku Adam akiwa amemkazia macho kujua Irene
angesema nini na Irene akaanza kusema kwa sauti ya chini na kumwambia
uliponiacha kijijini na ujauzito sio tu familia yangu kila mtu alinitenga na
nikaishi mwenyewe sikuwa na wakunisaidia hivyo nilijifungua kwa shida na kwa
bahati mbaya mtoto alifariki, pole sana , Irene alidiliki kudanganya huku
akilia Adam kwa mapenzi mema alinyanyuka na kumsogelea Irene na kumkumbatia
kama kumnyamazisha alipokua analia wakati Irene alifahamu kuwa anadanganya ila
alijifanya mwenye majonzi huku akijiliza liza , Adam alimkumbatia Irene na
kumbe Dayness aliyekua anamfuatilia mume wake kuwa wapi hua anakwenda ili ajue
ni nani anayemuharibia mume wake hadi mapenzi yao yanapungua alifika ,
alipofika tu hakuamini alichokiona machoni kwake
SIR HUFICHULIWA NA MJASIRI WOGA UKIKITHIRI 18
October 11, 2015
No comments
SIRI HUFICHULIWA NA UJASIR WOGA UKIKITHIRI 18
SEHEMU YA 18
SEHEMU YA 18
Irene alisita kidogo na alipoangalia watu wote
katika hoteli hiyo waliduwaa wakiwaangalia wao kwa kuepusha aibu Irene ilibidi
aeleweke tu na kusema haya nimekusamehe simama sasa , ahsante alijibu Adam
ambaye aliposimama hakusimamam hivi hivi bali alijifanya kajisahau na
kumkumbatia Irene ambaye naye kwa kuwa ni mbele ya watu aliweka mikono yake
mgongoni mwa Adam na kumkumbatia huku Adam kakamatilia kiuno daaah huyu jamaa
kweli ngombe hazeeki maini yani tabia zake zilikua zile zile kwa vijana wa sasa
wangemuita kicheche , kisha wakakaa tena kwenye meza yao na Adam akaanza maongezi yake tena kwa Irene na kumwambia , ahsante kwa
kunisamehe kisha naweza kujua mwanangu sa hivi yuko wapi na anaitwa nani , kwa
hilo siwezi kukwambia kwa sasa ila naomba please please usidhani eti kukusamehe
ndio mambo yako sawa hapana kwanza hapa una bahati sana na shukuru Mungu leo
sijui nimeamkia wapi tu haya mi naomba niende sasa
, aaah si nikupe lifti hadi kwako hata nipajue , hapana sitaki sitaki siku
nikitaka upajue utapajua kwa sasa nitakachoweza kukuhakikishia ni urafiki tu
mengine yote hapana, aaah masharti magumu hayo sawa mama nimekuelewa alisema
Adam nakuagana kila mmoja akaenda kwake , Kesho ya muda wa mchana Adam
alishangaa kumuona Irene katika viunga vya kampuni ya TBL mawazo yake yote
yalimtuma anakuja kumtafuta yeye kumbe Irene alikuja kumuumiza zaidi Adam
aliyefikiri kasamehewa hivi hivi tu kirahisi rahisi , Irene alikuja kumuona
Humphrey , Adam si akatoka anajiamini kwamba Irene anakuja kwake kwa mbwembwe
huku akitabasamu tabasamu kabla hajafika Irene alipokua Irene si akanyoosha
mikono kama mtu aliyekua akihitaji kumkumbatia mtu fulani Adam si akazani ni
yeye naye akanyoosha mikono kama anataka kumkumbatia Irene mara ghafla akatokea
mtu nyuma yake Adam na kwenda kukumbatiana na Irene alikua ni Humphrey daaah
Adam ilimuuma sana hii ilikua ni michezo ya kitoto ikichezwa na watu wazima
hahahahahaha hayo ndio mapenzi bwana hayakui yani michezo ya kitoto mtu mzima
anamfanyia mtu mzima mwenzake , huku napo sio pa kusahau kwani siku hii ndio
haswa ile siku mjenzi alikua anakabidhiwa vifaa vyake vya kazi aanze kazi
ilikua ni kazi ya kukimbiza mwenge yani namaanisha ilikua siku ya kuvunja ahadi
ya siku nyingi waliowekeana ni hawa vijana wa kizazi kipya Vatican na Martha
ndio hasa walikutana tena baada ya kutoonana kwa muda mrefu sasa nao waliona
ulikua ni muda bora wa kupinga amri za Mungu kwa kuvunja mojawapo ya amri zake
ambayo ilikua ni amri ya sita. Hawaanzagi hivi hivi bali ndani ya jiji la
miamba miamba la Mwanza vijana hawa wawili walikutana katika hoteli ya Golden
crest kupata maraha ya dunia yani duu yani daah Vatican kishamchomoa mama yake
kama laki mbili hivi za kutumia siku hiyo mtoto mwenyewe mmoja huyo chochote
atakacholilia anapewa haikua shida kupewa laki mbili na mama haya tuendelee,
baada ya vinywaji na chakula hotelini hapo sasa ulikua ni muda wa kupumzika .
Katika chumba walichokua Martha alienda kwanza kuoga humo humo bafuni na
Vatican kwa haraka haraka zake alikua tayari ameshajiaandaa yani kabaki na nguo
kama tatu mwilini mwake ambazo zilikua ni kaptula fupi na nguo ya ndani kisha
na kaushi wakati akiwa anasubiria kwa hamu kumwaga marhamu harufu marashi ya
utamu sogea wote tule humu Vatican aliweka kwenye redio wimbo wa Whitney
Houston I will always love you Martha alitoka nao taratibu bafuni akiimba wimbo
huo bila ajizi akaumwaga mchuzi mbele ya walowezi ni kile ki taulo alichokua
amekivaa alikiachia kikaanguka hadi chini pwaaa mambo hadharani karibu mwandani tuonyeshane vya ndani mimba hiyo ajali kazini hebu
karibia tusafishe nyota kila siku niwe ninakuota ilikua ni katika chumba kimoja
kitanda kimoja watu wawili wakiwa na wazo moja na wakifanya tendo moja kwa
pamoja huku hawajui kama ni wa baba mmoja aisee hatutapoteza sana muda huko wewe
kama mtu mzima ulishajua nini kilichoendelea hahahahaha jiongeze mkubwa hayo ndio
yaliyoendelea huko
Friday, October 09, 2015
SIRI HUFICHULIWA NA MJASIRI WOGA UKIKITHIRI 17
October 09, 2015
No comments
SIRI HUFICHULIWA NA MJASIRI WOGA UKIKITHIRI
SEHEMU YA 17
haikuchukua muda akafika Irene mamamamama pwaaaa moyo wa Adam ulishituka alikua ni Irene yule yule mzuri vile vile kama zamani alipokua na miaka 17 mwenye sura ya kupendeza mwili ambao kama ulitengenezwa vile yani kama alikua bado binti kumbe mama wa miaka arobaini na kadhaa hivi Adam alibaki ameduwaa kama aliyeshangaa mwonekano mzuri wa Irene ghafla alishituliwa na sauti ya Humprey akimkaribisha Irene karibu mwalimu Irene , ahsante habari zenu, oooh salama salama Adam ,Adam unasalimiwa , Adam alishituliwa na Humprey kwani alikua bado ameduwaa huku akicheka hahaha salama tu mawazo haya, Humprey bila kuchelewesha muda akaanza utambulisho Adam huyu hapa anaitwa Mwalimu Irene ni mwalimu mkuu wa shule ya msingi kitangiri , ooooh nashukuru kumfahamu huku akimpa Irene mkono , Irene naye akasita kidogo kisha akampa mkono Adam na Adam naye akatambulishwa kwa Irene , Irene huyu ni rafiki yangu kipenzi anaitwa Adam ni muhasibu mkuu wa TBL , oooh nashukuru kwa kumfahamu alisema Irene. Kisha Irene aliagiza chakula alichohitaji na kukaa Adam hakuacha kumtupia jicho Irene kwa chini chini mwishowe kama ka mchezo wakawa wanatupiana macho kwa kuibia mithili ya kutegeana yani huyu anamwangalia mwenzie kisha anapindisha macho na mwenzake pia anamuangalia mwishowe hadi Humprey akataka kuwashitukia na akauliza vp mnafahamiana au naona wote kwa pamoja wakaitikia aaaa hapana wala hatufahamiani , aaah sawa nilidhani mnafahamiana. Adam alianza kukumbuka zamani na kujiuliza kama Irene alikua mwalimu wa kitangiri basi ndio yule aliyewasiliana naye kitambo kipindi mwanae alipopotea shule pia akaanza kufungua simu yake na kutafuta namba ya Irene aliyoiifadhi miaka iliyopita kwenye simu yake Mungu saidia akaipata bwana hapo hapo akaanza uchokozi ulikua ni uchokozi wa kubip zaidi ya mara tatu akamudu kukatisha mazungumzo ya Irene na Humprey ila Irene kwa kukomesha akazima kabisa simu hapo akamkomesha kabisa kisha mazungumzo yao yakafana na kua vyema na sasa Humprey akapanga kutupa nanga za kiutu uzima na hapa akaanza pole pole ki hivi sasa mwalimu unalifikiriaje lile swala langu nililokugusia kipindi kirefu , jamani huniachi hata nifikirie kidogo jibu lako nitakupa tu , haya ngoja nisubiri, Adam kwa chini chini si akakaza macho kwa Irene hapo ndipo Irene alipochukua maamuzi magumu ni ya kusogea karibu na Humprey kisha akamwekea mkono juu ya mabega yake na kumwambia unajua nini Humprey unaonekana mwenye nia sana na mimi sasa naona wacha nikupe nafasi japo nijaribu nione kwa sababu nyinyi wanaume hua hamtabiriki mwanzoni mnaonyesha kama mna upendo kisha baadae mkipata mnachokihitaji hukimbia na kutuacha wapweke (Irene alimaanisha hivyo kama kumuumiza Adam kwa mafumbo) , aaah hayo mi siwezi kufanya mi bwana najua kutunza wanawake wala sitokuumiza na utu uzima wangu kweli huu nifanye mambo ya vijana hayo siwezi ,alisema Humprey , Huku Adam aliumia roho zaidi yale mapenzi ya zamani kwa Irene alikua bado anayo na aliumia kuona Irene anakwenda kwa Humphrey kiulaini kumbe Irene naye alifanya hivyo kumuumiza Adam asikie maumivu aliyoyapata yeye miaka kadhaa iliyopita na kweli Adam aliumia kabisa sema alijikaza kwa kuwa ilikua mbele ya rafiki yake. Kisha makutano hayo yaliisha na kila mmoja alimuaga mwenzake na kuondoka ilikua ni furaha kwa Humphrey na kilio kwa Adam na sasa Adam aliona acha ajaribu nafasi yake kwa kumpigia simu Irene , huku Irene akiwa na furaha kwamba kamkomesha Adam mara simu ikaita akapokea haloo nanana ( Adam alipata kigugumizi ) naongea na mwalimu Irene tafadhali , ndio mimi nikusaidie nini ,(Adam akakaza sauti kwa kukalipia) nimesema sitaki ujinga nataka unionyeshe mwanangu na unileze ni kwa nini miaka yote hiyo hupo hapa hukuwahi kunitafuta , wewe baba una wazimu kwanza naongea na nani we unapiga simu tu na kuanza kufoka unamfokea nani hebu kama umekosea namba bora ukate au useme we nani , (Adam kwa upole) aaaah samahani sana mi naitwa Mr Adam ni menejaaa, wala hata usimalizie ehe shida yako nini ? Una wazimu hivi ulidhani kuwa sitoishi uliponiacha na mimba yangu sasa umekosea njia mtoto wako hutamjua wala hana jina lako niache na maisha yangu niishi kwa raha kwanza nitamwambia rafiki yako kwamba unanisumbua , aaaaah basi basi yaishe Irene tukutane basi tuongee yaishe mi naomba msamaha najua nilikuumiza ila nina sababu zangu njoo tuongee nitakwambia ukweli wote , tafadhala tafadhali sana sitaki unipotezee muda wako na uongo wako wa tangu zamani , hapana naapa kweli sitatumia muda mwingi kukueleza naomba tafadhali , haya sawa wapi na saa ngapi, mmmh ni pale lenana hotel saa kumi jioni nadhani utakua umeshamaliza kazi zako, hayo hayakuhusu haya nitakuja, haya kwa he haloo haloo, kabla hajamaliza simu ilikua tayari ilishakata , kesho yake muda ulipofika kweli baada ya kazi Irene alikwenda Lenana Hotel pasiansi na kukutana na Adam, kwa mbwembwe kabla Irene hajakaa Adam akamvutia kiti na kumruhusu akae kisha akamuuliza Irene angetumia kinywaji gani na kuagiza, maongezi yakaanzishwa na Adam mwenyewe aisee siamini japo miaka imekwenda Irene we bado ni mzuri vile vile na mrembo wa kuvutia kwa kweli sichoki kukuangalia nikikumbuka zamani nilivyokupenda hadi moyo unaniuma , eeeeeh wewe baba sikuja kwa hayo hebu eleza shida zako haraka mi niondoke naona kama unanichelewesha , aaah samahani kwa hilo unajua tangu tuachane kijijini sijaacha kukufikilia wewe yani upendo wangu kwako bado upo ule ule , (Irene huku akitaka kunyanyuka) wewe hebu usiniletee mambo ya kizamani historia ambayo ilishafutika kichwani mwangu kama huna la kuniambia mimi naondoka , aaaa basi basi najua unanichukia sana kwa mambo niliyokutendea ila naomba samahani sana naomba msamaha kwa hilo Irene kuna sababu nyingi zilizonifanya kukuacha kijijini , kama zipi , nyingi tu, hazina majina au kumbe nia yako ilikua kunichezea na kukimbilia mjini , hapana hapana , ila , ila matatizo madogo tu , aaaah sawa hayo matatizo madogo ndio yananifanya na mimi nikuache sa hivi , usifanye hivyo usi , tayari Irene alinyanyuka na kutaka kuondoka Adam haraka alimdaka Irene miguu na kuing'ang'ania kwa kuikumbatia huku akiwa kapiga magoti na kichwa chake kipo usawa wa tumbo la Irene na akiwa kakiegemesha hapo akisema naomba msamaha nisamehe tafadhali Irene , mwili wa Irene ulisisimka na hisia zake zikamjia na kumrudisha mbali kumbuka ni miaka mingi hakuwahi kukutana na mwanaume yoyote kimwili sasa mkono wa Adam uliopita kiunoni mwake uliamsha hisia zake na kumkumbusha zamani sana kwa moyo wa hurumu Irene huku akiwa amemshika Adam kichwani akasema unaniaibisha bwana tafadhali simama simama , Adam akajibu siwezi kusimama hapa hadi uniambie kama umenisamehe au , Irene alisita kidogo na alipoangalia watu wote katika hoteli hiyo waliduwaa wakiwaangalia wao kwa kuepusha aibu Irene ilibidi aeleweke tu na kusema haya nimekusamehe simama sasa
SEHEMU YA 17
haikuchukua muda akafika Irene mamamamama pwaaaa moyo wa Adam ulishituka alikua ni Irene yule yule mzuri vile vile kama zamani alipokua na miaka 17 mwenye sura ya kupendeza mwili ambao kama ulitengenezwa vile yani kama alikua bado binti kumbe mama wa miaka arobaini na kadhaa hivi Adam alibaki ameduwaa kama aliyeshangaa mwonekano mzuri wa Irene ghafla alishituliwa na sauti ya Humprey akimkaribisha Irene karibu mwalimu Irene , ahsante habari zenu, oooh salama salama Adam ,Adam unasalimiwa , Adam alishituliwa na Humprey kwani alikua bado ameduwaa huku akicheka hahaha salama tu mawazo haya, Humprey bila kuchelewesha muda akaanza utambulisho Adam huyu hapa anaitwa Mwalimu Irene ni mwalimu mkuu wa shule ya msingi kitangiri , ooooh nashukuru kumfahamu huku akimpa Irene mkono , Irene naye akasita kidogo kisha akampa mkono Adam na Adam naye akatambulishwa kwa Irene , Irene huyu ni rafiki yangu kipenzi anaitwa Adam ni muhasibu mkuu wa TBL , oooh nashukuru kwa kumfahamu alisema Irene. Kisha Irene aliagiza chakula alichohitaji na kukaa Adam hakuacha kumtupia jicho Irene kwa chini chini mwishowe kama ka mchezo wakawa wanatupiana macho kwa kuibia mithili ya kutegeana yani huyu anamwangalia mwenzie kisha anapindisha macho na mwenzake pia anamuangalia mwishowe hadi Humprey akataka kuwashitukia na akauliza vp mnafahamiana au naona wote kwa pamoja wakaitikia aaaa hapana wala hatufahamiani , aaah sawa nilidhani mnafahamiana. Adam alianza kukumbuka zamani na kujiuliza kama Irene alikua mwalimu wa kitangiri basi ndio yule aliyewasiliana naye kitambo kipindi mwanae alipopotea shule pia akaanza kufungua simu yake na kutafuta namba ya Irene aliyoiifadhi miaka iliyopita kwenye simu yake Mungu saidia akaipata bwana hapo hapo akaanza uchokozi ulikua ni uchokozi wa kubip zaidi ya mara tatu akamudu kukatisha mazungumzo ya Irene na Humprey ila Irene kwa kukomesha akazima kabisa simu hapo akamkomesha kabisa kisha mazungumzo yao yakafana na kua vyema na sasa Humprey akapanga kutupa nanga za kiutu uzima na hapa akaanza pole pole ki hivi sasa mwalimu unalifikiriaje lile swala langu nililokugusia kipindi kirefu , jamani huniachi hata nifikirie kidogo jibu lako nitakupa tu , haya ngoja nisubiri, Adam kwa chini chini si akakaza macho kwa Irene hapo ndipo Irene alipochukua maamuzi magumu ni ya kusogea karibu na Humprey kisha akamwekea mkono juu ya mabega yake na kumwambia unajua nini Humprey unaonekana mwenye nia sana na mimi sasa naona wacha nikupe nafasi japo nijaribu nione kwa sababu nyinyi wanaume hua hamtabiriki mwanzoni mnaonyesha kama mna upendo kisha baadae mkipata mnachokihitaji hukimbia na kutuacha wapweke (Irene alimaanisha hivyo kama kumuumiza Adam kwa mafumbo) , aaah hayo mi siwezi kufanya mi bwana najua kutunza wanawake wala sitokuumiza na utu uzima wangu kweli huu nifanye mambo ya vijana hayo siwezi ,alisema Humprey , Huku Adam aliumia roho zaidi yale mapenzi ya zamani kwa Irene alikua bado anayo na aliumia kuona Irene anakwenda kwa Humphrey kiulaini kumbe Irene naye alifanya hivyo kumuumiza Adam asikie maumivu aliyoyapata yeye miaka kadhaa iliyopita na kweli Adam aliumia kabisa sema alijikaza kwa kuwa ilikua mbele ya rafiki yake. Kisha makutano hayo yaliisha na kila mmoja alimuaga mwenzake na kuondoka ilikua ni furaha kwa Humphrey na kilio kwa Adam na sasa Adam aliona acha ajaribu nafasi yake kwa kumpigia simu Irene , huku Irene akiwa na furaha kwamba kamkomesha Adam mara simu ikaita akapokea haloo nanana ( Adam alipata kigugumizi ) naongea na mwalimu Irene tafadhali , ndio mimi nikusaidie nini ,(Adam akakaza sauti kwa kukalipia) nimesema sitaki ujinga nataka unionyeshe mwanangu na unileze ni kwa nini miaka yote hiyo hupo hapa hukuwahi kunitafuta , wewe baba una wazimu kwanza naongea na nani we unapiga simu tu na kuanza kufoka unamfokea nani hebu kama umekosea namba bora ukate au useme we nani , (Adam kwa upole) aaaah samahani sana mi naitwa Mr Adam ni menejaaa, wala hata usimalizie ehe shida yako nini ? Una wazimu hivi ulidhani kuwa sitoishi uliponiacha na mimba yangu sasa umekosea njia mtoto wako hutamjua wala hana jina lako niache na maisha yangu niishi kwa raha kwanza nitamwambia rafiki yako kwamba unanisumbua , aaaaah basi basi yaishe Irene tukutane basi tuongee yaishe mi naomba msamaha najua nilikuumiza ila nina sababu zangu njoo tuongee nitakwambia ukweli wote , tafadhala tafadhali sana sitaki unipotezee muda wako na uongo wako wa tangu zamani , hapana naapa kweli sitatumia muda mwingi kukueleza naomba tafadhali , haya sawa wapi na saa ngapi, mmmh ni pale lenana hotel saa kumi jioni nadhani utakua umeshamaliza kazi zako, hayo hayakuhusu haya nitakuja, haya kwa he haloo haloo, kabla hajamaliza simu ilikua tayari ilishakata , kesho yake muda ulipofika kweli baada ya kazi Irene alikwenda Lenana Hotel pasiansi na kukutana na Adam, kwa mbwembwe kabla Irene hajakaa Adam akamvutia kiti na kumruhusu akae kisha akamuuliza Irene angetumia kinywaji gani na kuagiza, maongezi yakaanzishwa na Adam mwenyewe aisee siamini japo miaka imekwenda Irene we bado ni mzuri vile vile na mrembo wa kuvutia kwa kweli sichoki kukuangalia nikikumbuka zamani nilivyokupenda hadi moyo unaniuma , eeeeeh wewe baba sikuja kwa hayo hebu eleza shida zako haraka mi niondoke naona kama unanichelewesha , aaah samahani kwa hilo unajua tangu tuachane kijijini sijaacha kukufikilia wewe yani upendo wangu kwako bado upo ule ule , (Irene huku akitaka kunyanyuka) wewe hebu usiniletee mambo ya kizamani historia ambayo ilishafutika kichwani mwangu kama huna la kuniambia mimi naondoka , aaaa basi basi najua unanichukia sana kwa mambo niliyokutendea ila naomba samahani sana naomba msamaha kwa hilo Irene kuna sababu nyingi zilizonifanya kukuacha kijijini , kama zipi , nyingi tu, hazina majina au kumbe nia yako ilikua kunichezea na kukimbilia mjini , hapana hapana , ila , ila matatizo madogo tu , aaaah sawa hayo matatizo madogo ndio yananifanya na mimi nikuache sa hivi , usifanye hivyo usi , tayari Irene alinyanyuka na kutaka kuondoka Adam haraka alimdaka Irene miguu na kuing'ang'ania kwa kuikumbatia huku akiwa kapiga magoti na kichwa chake kipo usawa wa tumbo la Irene na akiwa kakiegemesha hapo akisema naomba msamaha nisamehe tafadhali Irene , mwili wa Irene ulisisimka na hisia zake zikamjia na kumrudisha mbali kumbuka ni miaka mingi hakuwahi kukutana na mwanaume yoyote kimwili sasa mkono wa Adam uliopita kiunoni mwake uliamsha hisia zake na kumkumbusha zamani sana kwa moyo wa hurumu Irene huku akiwa amemshika Adam kichwani akasema unaniaibisha bwana tafadhali simama simama , Adam akajibu siwezi kusimama hapa hadi uniambie kama umenisamehe au , Irene alisita kidogo na alipoangalia watu wote katika hoteli hiyo waliduwaa wakiwaangalia wao kwa kuepusha aibu Irene ilibidi aeleweke tu na kusema haya nimekusamehe simama sasa
SIRI HUFICHULIWA NA MJASIRI WOGA UKIKITHIRI 16
October 09, 2015
No comments
SIRI HUFICHULIWA NA MJASIRI WOGA UKIKITHIRI
SEHEMU YA 16
ahsante kwa chocolate dedication massari real love i love you . Hayo ndiyo ya moyoni ya Martha aliyoyatoa kwa Vatican. Vatican alipoipokea tu barua kutoka kwa Angel na kuisoma nusu alie alipiga makelele hayo kama mwanafunzi wa form four aliyepata matokeo kuwa kafaulu wakati asilia 80 wamefeli utani tu ila ki ukweli Vatican alikua mwenye furaha sana pia furaha hiyo iliongezeka zaidi pale Vatican alipofaulu kwenda mwaka wa tatu kwa ufaulu mkubwa wa GPA ya nne na hakusita kumshirikisha mama yake katika furaha yake ilikua kama kuokota dhahabu mchangani huku wengine wanahangaika kuchimba migodini . Shikamoo mama , marahaba hali yako ,nzuri , za masomo , nazo nzuri , vipi unataka shilingi ngapi sababu nishazoea ukinipigia tu wewe unaomba hela , haaaa mama sio hivyo leo nitabadilisha ratiba kidogo nina jambo jema nataka kukwambia mama yangu nimefaulu kwenda mwaka wa tatu tena kwa GPA kubwa mi ndio nimeongoza chuo kizima ,haya hongera zako , halafu pia kuna suprise nataka nikupe mama yangu , ipi hiyo ,ni siri utaona baadae , haya, halafu mama , mmh nini tena , nina shida ya kiasi kadhaa cha fedha , nilijua tu wewe uache kuomba hela mtoto wewe kama ulizaliwa benki vile haya shilingi ngapi , kama laki tatu hivi , haya kesho, haya mama siku njema ,nawe pia masomo mema baba, haya kwaheri ,haya. Kwa mtoto wa mwalimu mkuu ilikua sio kazi kupewa laki tatu ni kama kuomba maji mtoni yani ilikua rahisi kweli kweli . Masomo yaliendelea na Martha alikua kidato cha nne wakati fulani akafunga shule na likizo hakwenda Mwanza kwani ilikua likizo ya muda mfupi kama wiki moja tu hapo alipata nafasi rasmi sasa ya kukutana na Vatican tena aisee Martha maharage ya shule yalimkubali alikua kanona ile mbaya alinenepa kwa kiasi kama ni ngombe basi hata wasingengojea sikukuu tayari angekua ameshachinjwa umbo lake mithili ya namba nane na alivyonawiri mweupeee Vatican alikosa cha kuongea ila cha kushangaza zaidi walipoonana hakuna aliyemsemesha mwenzake hapa ilitumika lugha ya matendo yani walicheka kila mmoja akitabasamu na kucheka kumvutia mwenzie ilikua kama sumaku vile huo mvutano yani ghafla kila mmoja alijikuta kwenye ndimi ya mwenzake wakaanza kubadilishana bacteria mwaaa mwaaa ndio sauti zilizosikika. Kubadilishana mate tu watu kidogo wajigonge wengine nao hadi wakaacha shughuli zao wakishangaa watu wanang'atana midomo bila kuumia Vatican hapo kakamatilia kiuno taratibu anashusha shusha mkono hadi kwenye makalio hahahahahaha ndivyo mambo ya vijana yalivyo ila sasa hili lilikua fumanizi ni Mary alitoka nje na kukuta Vatican na Martha wakifanya yao aisee ilimuuma sana na Mary hua akopeshi hapo hapo aliwafuata na kuanza kuongea mhhh haya wapendanao sasa mtauza sana sura mwaka huu sijui nawe umempendea nini gunia kama hili (huku akimwekea kidole usoni Martha) Martha kidogo atake kupigana ila Vatican akamzuia hawakuishia hapo kula raha bali walirudi tena JB Belmont kukumbushia raha za siku ile ya zamani huko kama kawaida yao hawakuacha kunywa na kula vya kutosha ila sasa Vatican alidhamiria kuvunja amri ya sita siku hiyo kwani alikazana sana kumshika shika Martha mapaja mara kumbusu sana kama aliyehitaji Mambo fulani hivi kutoka kwa Martha kwa kuwa ilikua ni the promise ilibidi Vatican awe mpole na kusubiri hadi siku ya ahadi itakapofika siku hiyo Martha alikua makini sana hakunywa pombe wala hakutaka kukaa sana kwenye starehe siku hiyo hivyo alirudi mapemaa nyumbani kisha wakaagana na kuachana kila mmoja alilala kwa furaha huku akimfikiria mwenzake ilikua ni kama ndoto na siku hiyo hakuna aliyelala kwa raha walizoponda siku hiyo kama mwenye njaa kutupwa katika msitu wa matunda. Likizo iliisha na Martha akarudi shule siku nazo hazigandi kama maziwa mtindi kujenga historia zaidi ya mwanamalundi sasa Martha alimaliza kidato cha nne sio yeye tu pia na Vatican naye alimaliza mwaka wa tatu chuo hivyo kama muda wa kutimiza ule usemi wa ahadi ni deni ulitakiwa utimizwe yani ni kuwasumbua wachawi kwa sauti za kuwafanya wasiloge usiku na kuwasikiliza nyie hahahahaha najua ulishatambua kama una nia ya kujua ni zile mechi muhimu zenye matokeo matatu tu kushinda kushindwa au kutoa sare tena zipo za uwanja wa nyumbani na zile za ugenini ila kubwa zaidi ni zile za kimataifa hapo uwanja wa taifa kuna heshima yake hapo we acha yani unalichezea taifa lako , tuachane na mbwembwe hizo tuje kwenye mahafali iliyofana sana ilikua ni mahafali ya Martha kumaliza kidato cha nne aisee haya mahafali yalikua ya kifahali watu walikula hadi wakawa wanaitwa warudie tena , mzee Adam alikuepo mama Martha Dayness na Mary kuchukua taarifa za umbea .Martha alipewa laptop kama zawadi kutoka kwa baba na saa ya dhahabu kutoka kwa mama , Vatican naye hakusita kupita japo kwa mbali japo alione ua la moyo wake kheri subuhana na radhi zake upendo huu uishe kwake aisee yani mvutano zaidi ya marhamu tamu inavyonukia huku Martha akinuia japo amuone hata kwa mbali Vatican naye alisubiri apate majibu ya asali asije umia kwa uchungu wa shubiri wakakutana wawili kama hadithi vile kidogo mambo yafanyike yakumtafuta mrithi ila aaah Vatican akajisemea sizitaki mbichi hizi " ishara ya upendo kuonyesha uvumilivu na skendo hatoi maulana uzuri wako bado msichana nakupenda tena nakupenda sana pindi uniachapo mi nitakazana niombe radhi kwako usije nihama atakayesema chokochoko ruhusa kumtukana" haka ni ka nyimbo ka msanii Joseph ambako Vatican alikua anakaimba huku kabeba maua yake mawili kama ishara ya upendo na Martha kifuani mwake waliachiana na Martha akamuaga kwa busu hatari sijapata ona hadi watu walisikia kisha akarudi haraka kwa wazazi wake sherehe ikafana na ikawa kama historia mzee Adam hakutaka aaache kitu Martha alikua anaondoka naye kurudi nyumbani Mwanza huko atasubiri matokeo Martha alibisha kwanza kidogo baadae ikabidi akubaliane na baba yake na kurudi Mwanza Vatican naye hua ashindwi kitu si akarudi pia nyumbani kwao Mwanza sa hapo bila bila mzee Adam na Vatican . Milima haikutani ila binadamu hukutana, kwenye hoteli moja maarufu Mwanza ambayo wafanyakazi , mabosi na watu maarufu hukutana hapo kupata chai na chakula cha mchana hapo ndipo Irene kwa miaka zaidi ya mitano hivi anamwona tena Adam ila Adam ni baada ya miaka 25 anakutana tena na Irene aisee ilikua siku ya kazi jumatano Irene amekwenda kupata kifungua kinywa kama kawaida yake katika hoteli ile ila Adam yeye siku hiyo alipelekwa hapo na rafiki yake wa karibu sana na meneja masoko Humprey katika kampuni aliyokua anafanya kazi Adam ,lengo la Humprey ilikua ni kumkutanisha Adam na rafiki yake wa karibu wa Humprey ambaye katika tetesi Humprey alimwambia Adam kuwa angependa amuoe ila alikua bado akisubiri majibu kutoka kwa mama huyo. Kweli walitangulia wao kufika na kuagiza kile walichotaka Adam kwa shauku si akaanza , Humprey huyo mrembo mbona hafiki au umepigwa changa la macho hahahahaha na wazee unajua hua hatutaniani sasa kama ulitaniwa au leo siku ya wajinga nini ?, Aaaa Adam sipendi utani bwana haraka haraka haina baraka subiri atakuja uje umuone we mwenyewe utamkubali mama wa watu alivyoumbika. Kama unakumbuka zamani Adam naye alikua mtu wa wanawake hivyo sifa tu alizoambiwa na Humprey ye mwenyewe mate yakaanza anza , haikuchukua muda akafika
SEHEMU YA 16
ahsante kwa chocolate dedication massari real love i love you . Hayo ndiyo ya moyoni ya Martha aliyoyatoa kwa Vatican. Vatican alipoipokea tu barua kutoka kwa Angel na kuisoma nusu alie alipiga makelele hayo kama mwanafunzi wa form four aliyepata matokeo kuwa kafaulu wakati asilia 80 wamefeli utani tu ila ki ukweli Vatican alikua mwenye furaha sana pia furaha hiyo iliongezeka zaidi pale Vatican alipofaulu kwenda mwaka wa tatu kwa ufaulu mkubwa wa GPA ya nne na hakusita kumshirikisha mama yake katika furaha yake ilikua kama kuokota dhahabu mchangani huku wengine wanahangaika kuchimba migodini . Shikamoo mama , marahaba hali yako ,nzuri , za masomo , nazo nzuri , vipi unataka shilingi ngapi sababu nishazoea ukinipigia tu wewe unaomba hela , haaaa mama sio hivyo leo nitabadilisha ratiba kidogo nina jambo jema nataka kukwambia mama yangu nimefaulu kwenda mwaka wa tatu tena kwa GPA kubwa mi ndio nimeongoza chuo kizima ,haya hongera zako , halafu pia kuna suprise nataka nikupe mama yangu , ipi hiyo ,ni siri utaona baadae , haya, halafu mama , mmh nini tena , nina shida ya kiasi kadhaa cha fedha , nilijua tu wewe uache kuomba hela mtoto wewe kama ulizaliwa benki vile haya shilingi ngapi , kama laki tatu hivi , haya kesho, haya mama siku njema ,nawe pia masomo mema baba, haya kwaheri ,haya. Kwa mtoto wa mwalimu mkuu ilikua sio kazi kupewa laki tatu ni kama kuomba maji mtoni yani ilikua rahisi kweli kweli . Masomo yaliendelea na Martha alikua kidato cha nne wakati fulani akafunga shule na likizo hakwenda Mwanza kwani ilikua likizo ya muda mfupi kama wiki moja tu hapo alipata nafasi rasmi sasa ya kukutana na Vatican tena aisee Martha maharage ya shule yalimkubali alikua kanona ile mbaya alinenepa kwa kiasi kama ni ngombe basi hata wasingengojea sikukuu tayari angekua ameshachinjwa umbo lake mithili ya namba nane na alivyonawiri mweupeee Vatican alikosa cha kuongea ila cha kushangaza zaidi walipoonana hakuna aliyemsemesha mwenzake hapa ilitumika lugha ya matendo yani walicheka kila mmoja akitabasamu na kucheka kumvutia mwenzie ilikua kama sumaku vile huo mvutano yani ghafla kila mmoja alijikuta kwenye ndimi ya mwenzake wakaanza kubadilishana bacteria mwaaa mwaaa ndio sauti zilizosikika. Kubadilishana mate tu watu kidogo wajigonge wengine nao hadi wakaacha shughuli zao wakishangaa watu wanang'atana midomo bila kuumia Vatican hapo kakamatilia kiuno taratibu anashusha shusha mkono hadi kwenye makalio hahahahahaha ndivyo mambo ya vijana yalivyo ila sasa hili lilikua fumanizi ni Mary alitoka nje na kukuta Vatican na Martha wakifanya yao aisee ilimuuma sana na Mary hua akopeshi hapo hapo aliwafuata na kuanza kuongea mhhh haya wapendanao sasa mtauza sana sura mwaka huu sijui nawe umempendea nini gunia kama hili (huku akimwekea kidole usoni Martha) Martha kidogo atake kupigana ila Vatican akamzuia hawakuishia hapo kula raha bali walirudi tena JB Belmont kukumbushia raha za siku ile ya zamani huko kama kawaida yao hawakuacha kunywa na kula vya kutosha ila sasa Vatican alidhamiria kuvunja amri ya sita siku hiyo kwani alikazana sana kumshika shika Martha mapaja mara kumbusu sana kama aliyehitaji Mambo fulani hivi kutoka kwa Martha kwa kuwa ilikua ni the promise ilibidi Vatican awe mpole na kusubiri hadi siku ya ahadi itakapofika siku hiyo Martha alikua makini sana hakunywa pombe wala hakutaka kukaa sana kwenye starehe siku hiyo hivyo alirudi mapemaa nyumbani kisha wakaagana na kuachana kila mmoja alilala kwa furaha huku akimfikiria mwenzake ilikua ni kama ndoto na siku hiyo hakuna aliyelala kwa raha walizoponda siku hiyo kama mwenye njaa kutupwa katika msitu wa matunda. Likizo iliisha na Martha akarudi shule siku nazo hazigandi kama maziwa mtindi kujenga historia zaidi ya mwanamalundi sasa Martha alimaliza kidato cha nne sio yeye tu pia na Vatican naye alimaliza mwaka wa tatu chuo hivyo kama muda wa kutimiza ule usemi wa ahadi ni deni ulitakiwa utimizwe yani ni kuwasumbua wachawi kwa sauti za kuwafanya wasiloge usiku na kuwasikiliza nyie hahahahaha najua ulishatambua kama una nia ya kujua ni zile mechi muhimu zenye matokeo matatu tu kushinda kushindwa au kutoa sare tena zipo za uwanja wa nyumbani na zile za ugenini ila kubwa zaidi ni zile za kimataifa hapo uwanja wa taifa kuna heshima yake hapo we acha yani unalichezea taifa lako , tuachane na mbwembwe hizo tuje kwenye mahafali iliyofana sana ilikua ni mahafali ya Martha kumaliza kidato cha nne aisee haya mahafali yalikua ya kifahali watu walikula hadi wakawa wanaitwa warudie tena , mzee Adam alikuepo mama Martha Dayness na Mary kuchukua taarifa za umbea .Martha alipewa laptop kama zawadi kutoka kwa baba na saa ya dhahabu kutoka kwa mama , Vatican naye hakusita kupita japo kwa mbali japo alione ua la moyo wake kheri subuhana na radhi zake upendo huu uishe kwake aisee yani mvutano zaidi ya marhamu tamu inavyonukia huku Martha akinuia japo amuone hata kwa mbali Vatican naye alisubiri apate majibu ya asali asije umia kwa uchungu wa shubiri wakakutana wawili kama hadithi vile kidogo mambo yafanyike yakumtafuta mrithi ila aaah Vatican akajisemea sizitaki mbichi hizi " ishara ya upendo kuonyesha uvumilivu na skendo hatoi maulana uzuri wako bado msichana nakupenda tena nakupenda sana pindi uniachapo mi nitakazana niombe radhi kwako usije nihama atakayesema chokochoko ruhusa kumtukana" haka ni ka nyimbo ka msanii Joseph ambako Vatican alikua anakaimba huku kabeba maua yake mawili kama ishara ya upendo na Martha kifuani mwake waliachiana na Martha akamuaga kwa busu hatari sijapata ona hadi watu walisikia kisha akarudi haraka kwa wazazi wake sherehe ikafana na ikawa kama historia mzee Adam hakutaka aaache kitu Martha alikua anaondoka naye kurudi nyumbani Mwanza huko atasubiri matokeo Martha alibisha kwanza kidogo baadae ikabidi akubaliane na baba yake na kurudi Mwanza Vatican naye hua ashindwi kitu si akarudi pia nyumbani kwao Mwanza sa hapo bila bila mzee Adam na Vatican . Milima haikutani ila binadamu hukutana, kwenye hoteli moja maarufu Mwanza ambayo wafanyakazi , mabosi na watu maarufu hukutana hapo kupata chai na chakula cha mchana hapo ndipo Irene kwa miaka zaidi ya mitano hivi anamwona tena Adam ila Adam ni baada ya miaka 25 anakutana tena na Irene aisee ilikua siku ya kazi jumatano Irene amekwenda kupata kifungua kinywa kama kawaida yake katika hoteli ile ila Adam yeye siku hiyo alipelekwa hapo na rafiki yake wa karibu sana na meneja masoko Humprey katika kampuni aliyokua anafanya kazi Adam ,lengo la Humprey ilikua ni kumkutanisha Adam na rafiki yake wa karibu wa Humprey ambaye katika tetesi Humprey alimwambia Adam kuwa angependa amuoe ila alikua bado akisubiri majibu kutoka kwa mama huyo. Kweli walitangulia wao kufika na kuagiza kile walichotaka Adam kwa shauku si akaanza , Humprey huyo mrembo mbona hafiki au umepigwa changa la macho hahahahaha na wazee unajua hua hatutaniani sasa kama ulitaniwa au leo siku ya wajinga nini ?, Aaaa Adam sipendi utani bwana haraka haraka haina baraka subiri atakuja uje umuone we mwenyewe utamkubali mama wa watu alivyoumbika. Kama unakumbuka zamani Adam naye alikua mtu wa wanawake hivyo sifa tu alizoambiwa na Humprey ye mwenyewe mate yakaanza anza , haikuchukua muda akafika
Wednesday, October 07, 2015
SIRI HUFICHULIWA NA MJASIRI WOGA UKIKITHIRI 15
October 07, 2015
No comments
SIRI HUFICHULIWA NA MJASIRI WOGA UKIKITHIRI
SEHEMU YA 15
Mary hakuwa na uwezo wa kutunza siri aliwapigia simu wazazi wake na Martha na kuwaeleza ukweli wote mzee Adam alikasirishwa sana na Kufunga safari kwenda Dar akiwa na mke wake Dayness walipofika wakakutana na mtoto wao kitu cha kwanza kabla ya salamu Martha alipokea kibao kutoka kwa baba yake mzee Adam , mama yake alijaribu kumtetea na kisha akaenda naye chumbani na kumwacha mzee Adam na Mary wakiwa nje mzee Adam alimpongeza Mary kwa kazi nzuri ya kutoa taarifa huko ndani napo mama yake Martha alimwamuru Martha avue nguo zote na kuanza kumkagua kwa kuwa yeye alikua mzoefu alijua kila kitu na akajua kuwa Martha alikua hajafanyiwa chochote na kumwambia mwanae , Martha pole sana mama kwa kibao kutoka kwa baba usichana wako bado unao usihofu mama ukufanywa chochote , kweli mama , kweli usihofu acha nikaongee na baba we kaa hapa sawa , sawa, alipotoka akamwita mzee Adam na kumwambia baba Martha Martha bado , umejuaje, mi nimeenda nikamkagua bado ipo , usije ukawa unamtetea mwanao , haa twende mwenyewe ukaone kawa unadhani nakutania , basi acha nakuamini sana mke wangu sa sijui nitamwambiaje wivu kweli na kile kibao ila lazima nimpeleke akasome boarding siku nyingine watamfanya kweli hebu niitie Martha alikuja huku akiogopa ogopa kisha mzee Adam akamwita na kumwambia Sikia Mama pole kwa kukuumiza ila hiki nitakachokwambia kitakuumiza zaidi nataka nikuamishe kabisa hapa na ukasome shuleni boarding, baba jamani mbona unanionea hivyo mi sipendi boarding maisha ya huko magumu sana , sasa nataka ujue maisha magumu yalivyo kuanzia leo utahamia bodying. Kweli uamuzi ukitolewa na mzazi tena baba huwezi kupinga ndio ilivyotokea kwa Martha alikubali na kupelekwa shule boarding hapo hapo shuleni kwao ila baada ya siku kadhaa hivi Vatican alikwenda alipokua anaishi Martha na ndugu yake Mary kufika pale jamaa alienda kajiandaa ile mbaya maua, chocolate. Kadi ya sorry vyote alibeba kama ishara ya upendo na kuja kuomba msamaha alipofika akakutana na Mary akamkaribisha ndani kisha alipomuulizia Martha, Mary alikaa kimya kidogo na kumwambia Martha hayupo kahamishiwa boarding shuleni , (kama akishituka hivi) boarding kwa nini, we si ulimfanyia vibaya heheheee halafu kumbe hakuna kitu , Mary Kumbe naye alikua anamtamani tamani Vatican akaanza kumwambia huku akaja kukaa karibu naye na kuanza kuvuta vuta sketi yake fupi , hivi we Vatican huoni wanawake wa kupenda yani unahangaika na Martha mtoto huyo analialia na kukusumbua hivi hutuoni (huku akinyanyuka na kujigeuza mbele nyuma kama anamuonesha Vatican umbo lake) umeona mambo hayo cheki mtoto ninavyolipa eleweka wewe utaendelea hadi lini kulala na chakula halafu una njaa unaacha kula kisa hujui cha nani au unaogopa funguka mtoto wa kiume nipo hapa kwa ajili yako sema sasa (huku akipitisha mkono wake shingoni mwa Vatican), aaah Mary acha kwanza basi tufanye hivi hebu chukua hivi . Akampa maua kadi na ile choclate Mary alifurahi akajua labda Vatican kishanasa kwenye mtego wake kumbe wapi mawazo ya Vatican bado yapo kwa Martha tu kisha Vatican alimuaga Mary na kumpoteza zaidi si akamkumbatia basi Mary kichwa hilo kajua ndege mjanja yupo kwenye tundu bovu kumbe wapi. Vatican alifuatilia hadi akampata mtu aliyekua anasoma st marrys day aliyeitwa Angel. Angel alikua anasoma darasa moja na Martha , Vatican alimtuma Angel akamsalimie tu Martha , Martha alipopata habari hizo moyo ulilipuka ila naye alikua kaanza kumpenda Vatican hata ile hasira aliyekua nayo kwa Vatican ilitoka alipojua kuwa Vatican hakufanya chochote basi mind game ndio ilifanya kazi hivyo Martha alitokea kumpenda sana Vatican kisha alimpa majibu Angel na kumwambia Akamwambie Vatican aandike barua kwa kuwa shule hawakuruhusiwa kuwa na simu kweli Vatican aliandika barua na kumpa Angel na ilisomeka kama hivi " mambo natumaini we ni mzima wa afya pole na samahani kwa niliyokutendea najua nilikuudhi sana ila naomba nikwambie ukweli nilipolala na wewe sikufanya chochote wala sikulala na wewe usiku mzima bali nilikuja tu asubuhi naomba unisamehe kwa kukuchezea akili nakutakia masomo mema love you. Ndani ya barua yake Vatican aliweka chocolate kama ishara ya kumvutia Martha. Martha naye hakusita kujibu barua hiyo na kuandika hivi Kwako kipenzi Vatican najua kuwa nilikua na hasira kwako ila hilo ilikua ni sababu nilihisi umenitendea matendo mabaya ila haikua hivyo nimeamini kuwa we ni muaminifu na unanipenda kweli nachukua nafasi hii kukuambia kuwa nimekubali kuwa mpenzi wako kuanzia leo ila kwa masharti haya matatu kwanza sitopenda tukutane kimwili hadi nimalize kidato cha nne pili sipendi kuumizwa na nitajiua nikigundua una mpenzi mwingine hivyo nataka uwe wangu peke yangu tu hilo muhimu sana kisha sitopenda nifahamike sana kwa rafiki zako kuwa mi ni mpenzi wako naomba kwa sasa iwe siri ahsante kwa chocolate dedication massari real love i love you .
SEHEMU YA 15
Mary hakuwa na uwezo wa kutunza siri aliwapigia simu wazazi wake na Martha na kuwaeleza ukweli wote mzee Adam alikasirishwa sana na Kufunga safari kwenda Dar akiwa na mke wake Dayness walipofika wakakutana na mtoto wao kitu cha kwanza kabla ya salamu Martha alipokea kibao kutoka kwa baba yake mzee Adam , mama yake alijaribu kumtetea na kisha akaenda naye chumbani na kumwacha mzee Adam na Mary wakiwa nje mzee Adam alimpongeza Mary kwa kazi nzuri ya kutoa taarifa huko ndani napo mama yake Martha alimwamuru Martha avue nguo zote na kuanza kumkagua kwa kuwa yeye alikua mzoefu alijua kila kitu na akajua kuwa Martha alikua hajafanyiwa chochote na kumwambia mwanae , Martha pole sana mama kwa kibao kutoka kwa baba usichana wako bado unao usihofu mama ukufanywa chochote , kweli mama , kweli usihofu acha nikaongee na baba we kaa hapa sawa , sawa, alipotoka akamwita mzee Adam na kumwambia baba Martha Martha bado , umejuaje, mi nimeenda nikamkagua bado ipo , usije ukawa unamtetea mwanao , haa twende mwenyewe ukaone kawa unadhani nakutania , basi acha nakuamini sana mke wangu sa sijui nitamwambiaje wivu kweli na kile kibao ila lazima nimpeleke akasome boarding siku nyingine watamfanya kweli hebu niitie Martha alikuja huku akiogopa ogopa kisha mzee Adam akamwita na kumwambia Sikia Mama pole kwa kukuumiza ila hiki nitakachokwambia kitakuumiza zaidi nataka nikuamishe kabisa hapa na ukasome shuleni boarding, baba jamani mbona unanionea hivyo mi sipendi boarding maisha ya huko magumu sana , sasa nataka ujue maisha magumu yalivyo kuanzia leo utahamia bodying. Kweli uamuzi ukitolewa na mzazi tena baba huwezi kupinga ndio ilivyotokea kwa Martha alikubali na kupelekwa shule boarding hapo hapo shuleni kwao ila baada ya siku kadhaa hivi Vatican alikwenda alipokua anaishi Martha na ndugu yake Mary kufika pale jamaa alienda kajiandaa ile mbaya maua, chocolate. Kadi ya sorry vyote alibeba kama ishara ya upendo na kuja kuomba msamaha alipofika akakutana na Mary akamkaribisha ndani kisha alipomuulizia Martha, Mary alikaa kimya kidogo na kumwambia Martha hayupo kahamishiwa boarding shuleni , (kama akishituka hivi) boarding kwa nini, we si ulimfanyia vibaya heheheee halafu kumbe hakuna kitu , Mary Kumbe naye alikua anamtamani tamani Vatican akaanza kumwambia huku akaja kukaa karibu naye na kuanza kuvuta vuta sketi yake fupi , hivi we Vatican huoni wanawake wa kupenda yani unahangaika na Martha mtoto huyo analialia na kukusumbua hivi hutuoni (huku akinyanyuka na kujigeuza mbele nyuma kama anamuonesha Vatican umbo lake) umeona mambo hayo cheki mtoto ninavyolipa eleweka wewe utaendelea hadi lini kulala na chakula halafu una njaa unaacha kula kisa hujui cha nani au unaogopa funguka mtoto wa kiume nipo hapa kwa ajili yako sema sasa (huku akipitisha mkono wake shingoni mwa Vatican), aaah Mary acha kwanza basi tufanye hivi hebu chukua hivi . Akampa maua kadi na ile choclate Mary alifurahi akajua labda Vatican kishanasa kwenye mtego wake kumbe wapi mawazo ya Vatican bado yapo kwa Martha tu kisha Vatican alimuaga Mary na kumpoteza zaidi si akamkumbatia basi Mary kichwa hilo kajua ndege mjanja yupo kwenye tundu bovu kumbe wapi. Vatican alifuatilia hadi akampata mtu aliyekua anasoma st marrys day aliyeitwa Angel. Angel alikua anasoma darasa moja na Martha , Vatican alimtuma Angel akamsalimie tu Martha , Martha alipopata habari hizo moyo ulilipuka ila naye alikua kaanza kumpenda Vatican hata ile hasira aliyekua nayo kwa Vatican ilitoka alipojua kuwa Vatican hakufanya chochote basi mind game ndio ilifanya kazi hivyo Martha alitokea kumpenda sana Vatican kisha alimpa majibu Angel na kumwambia Akamwambie Vatican aandike barua kwa kuwa shule hawakuruhusiwa kuwa na simu kweli Vatican aliandika barua na kumpa Angel na ilisomeka kama hivi " mambo natumaini we ni mzima wa afya pole na samahani kwa niliyokutendea najua nilikuudhi sana ila naomba nikwambie ukweli nilipolala na wewe sikufanya chochote wala sikulala na wewe usiku mzima bali nilikuja tu asubuhi naomba unisamehe kwa kukuchezea akili nakutakia masomo mema love you. Ndani ya barua yake Vatican aliweka chocolate kama ishara ya kumvutia Martha. Martha naye hakusita kujibu barua hiyo na kuandika hivi Kwako kipenzi Vatican najua kuwa nilikua na hasira kwako ila hilo ilikua ni sababu nilihisi umenitendea matendo mabaya ila haikua hivyo nimeamini kuwa we ni muaminifu na unanipenda kweli nachukua nafasi hii kukuambia kuwa nimekubali kuwa mpenzi wako kuanzia leo ila kwa masharti haya matatu kwanza sitopenda tukutane kimwili hadi nimalize kidato cha nne pili sipendi kuumizwa na nitajiua nikigundua una mpenzi mwingine hivyo nataka uwe wangu peke yangu tu hilo muhimu sana kisha sitopenda nifahamike sana kwa rafiki zako kuwa mi ni mpenzi wako naomba kwa sasa iwe siri ahsante kwa chocolate dedication massari real love i love you .
Subscribe to:
Posts (Atom)