Sunday, October 04, 2015

SIRI HUFICHULIWA NA MJASIRI WOGA UKIKITHIRI 12

SIRI HUFICHULIWA NA MJASIRI WOGA UKIKITHIRI.
SEHEMU YA 12.
MTUNZI: JOSEPH SAMWEL.
MAWASILIANO: 0764217244.
EMAIL: josephsamwel484@gmail.com

naitwa Vatican Shaban nasoma UDSM  mwaka wa pili je wewe , mi naitwa Martha Adam nipo marrys kidato cha tatu , du mbona unaonekana mkubwa sana( Vatican akiuliza kwa mshangao) , yaaah ndivyo nilivyo that's my shape ndio mwili wangu ila I am still young as you can see I am only 17 now ,aisee nice looking you are so gorgeous , waaaaaho thanks a lot you too looking handsomite ,Hahaha not that much daaah yani hapa ilikua ni maongezi kwa kizungu tu kwa sisi tuliosoma shule za asante mkapa hapo walikua wametuuza kabisa hata wale wenzangu na mimi walikua kwenye daladala hawakuelewa kitu waliishia kushangaa tu nakujiuliza au hawa watoto wa Obama nini? Nashuka next stand hapo alisema Martha kama akimuaga Vatican, poa ila wait may I have your phone number, sure save yours here it is (huku akimpa simu yake aliyokua kaishika mkononi)  Vatican fasta bila kupoteza nafasi aliandika namba yake na kujibeep hapo hapo na kumrudishia simu Martha na Martha akafika akiwa anataka kushuka akamuaga Vatican kwa kumkumbatia si unajua swaga za watoto wa marrys kama wazungu vile ok bye handsome huku akitoa fumbatio Vatican aliona rahaaaa hata alikua hataki kuachia I will call you later Vatican alipayuka kwa sauti na gari likaondoka. Daah kijana wa watu Vatican akafurahi kweli kukumbatiwa na binti Hahahaha alipofika nyumbani tu Vatican fasta akapiga simu ya Martha sauti ikasikika nyororo Vatican kidogo ashindwe kuongea haloo haloo haloo Martha aliita mara tatu si Vatican alikua bado ameduwaa na sauti ila akashituka haloo hehehehehe samahani ni mimi Vatican mambo vipi , Poa vipi , safii , mzima wewe , mzima za muda , aaah nzuri tu , unaishi wapi , ukifika kile kituo niliposhuka naweza kukuelekeza mi sipajui vizuri huku , kwa hiyo kwenu wapi , mi natokea Mwanza , ooooh ndipo na mimi natokea kumbe tunatoka mkoa mmoja we unaishi wapi Mwanza , aaah mi kwetu ni capri point , ooh sawa na hapa unaishi na nani , nipo nimepanga naishi na ndugu yangu , basi sawa ila nikuulize kitu , uliza tu , utakubali kweli , kama ni jambo jema nitakubali na kama ni baya hapana, kweli , kweli , ok hivi naweza kuwa rafiki yako , mhhh yah hakuna tatizo haya poa nikipata muda nitakuja kukutembelea, poa , haya rafiki siku njema , haya kwako pia siku njema. Daah ka moyo kalimdunda vibaya Vatican yani kukubaliwa urafiki na mtoto wa kike duuuh siku hiyo alilala vizuri sana siku kadhaa zikapita na Vatican akapanga safari ya kwenda kumuona Martha kweli akapiga simu na mrembo Martha akaja kumpokea daah nguo zake sasa ndio zilikua zikimchanganya Vatican kwani Martha alijua kupangilia mvao wa nguo zake ili zimpendeze hapa alikua kavaa kaptula fupi inaitwa kipedo na blauzi ya rangi ya zambarau kiukweli ilimtoa na Vatican hakusita kuonyesha kufurahia kumwona Martha kwa kumkumbatia kwa nguvu aisee wala hakutaka hata kumuachia Martha kwa kumkatisha akajitoa haraka na kumpa mkono na kumkaribisha walienda hadi kwenye nyumba aliyokua akiishi yeye na mtoto wa mama yake mkubwa aliyeitwa Mary aisee chumba kilikua kizuri hicho sijapata kuona si unajua watoto wa kitajiri chumba kilijaa vitu vingi hapa tv hapa hiki mara hiki aisee. Vatican akabaki anashangaa tu akaletewa kinywaji maongezi yakaendelea siku ikawa imeisha hivyo kisha Vatican akamuomba Martha watoke out kidogo nje ya mahali anapoishi sijui malengo yake yalikua nini ila katika mawazo ya Vatican aliwaza kuanza kutupa karata yake kwa Martha ili aone kama atakubaliwa . Siku ilifika kweli na Vatican alijipanga kukutana na mrembo Martha kwanza 

0 comments:

Post a Comment