Wednesday, October 07, 2015

SIRI HUFICHULIWA NA MJASIRI WOGA UKIKITHIRI 13

SIRI HUFICHULIWA NA MJASIRI WOGA UKIKITHIRI.
                                           SEHEMU YA 13

Siku ilifika kweli na Vatican alijipanga kukutana na mrembo Martha kwanza akanunua chocolate ya arpella na maua ya waridi mazuri kisha akavaa nguo zake mpyaa alizichukua hussein pamba kali ili kumfurahisha Martha , Vatican alivalia shati ya mikoni mirefu nyeusi jeans yake ya bluu saa nyeusi na kiatu cha clipper nyeusi Martha alinawiri vibaya mno kwa kuvaa gauni la pink lililombana kwenye hips na lilikua fupi likiishia mapajani na mkoba wa pink pia walikutana JB belmont hotel aisee Vatican alijitoa heri amalize hela yake yote kuliko kumkosa Martha. Alipofika tu Vatican kwa mkwala mara akatoa Ua kwanza na kumkumbatia huku akimvutia kiti akae kisha alipokaa tu akampatia arpella ooh arpella I like it thank you alisema Martha , Vatican naye hakusita kumsifia Martha kwa vazi lake alilokua amevaa ooh umependeza kweli kweli zaidi hata ya malkia wa uingereza ( huku akitia nakshi nakshi maneno yake) , ahsante , mnmmnmnh sijui utatumia nini leo soda, bia , maji ama nini , we mi bia situmii bado mtoto, mhhh kwani hua mnasema ukweli huku (akimuita muhudumu) , nipatie Malta na huyu mrembo sijui hebu muulize , mi naomba alvaro apple ,  wakaagiza kila walichokihitaji hadi chakula kisha Vatican ndio akaanza kuongea. Jamaa Vatican alikua kajipanga aisee msosi ulikua wa maana sana hapa chips, huku kuku, pale sandwich meza imechafuka vibaya kwa vinywaji nadhani waliagiza ili wasirudie kabisa kwa kuwa ilikua ni vinywaji kama kumi kwa kila mmoja Vatican naye sijui alijua mambo yote yataisha siku hiyo hiyo kwani alikua tayari ameshalipia na chumba kwenye hotel hiyo haya sasa ulikua ni muda wa kumwaga mchele kwa kuku kuona kama atakula ili kumkamata kirahisi na kumchinjia mgeni.mambo yakaanza hivi kwa vatican , unakionaje chakula , ooooh kiko poa kabisa , unajua hii hotel mi naiaminia hapa mjini ndio inaongoza kwa msosi na huduma nzuri , hee kweli kabisa yani msosi wao hadi nime enjoy kweli, kweli , vp we hua unapendelea nini , mhhhh mimi napendelea kusoma kutoka out na marafiki kuchart na mhhh nadhani ndio hayo , kulala je ,hahahahaha (akacheka) that is a part of life , ahaaaa yah its true kweli ni part of life , je vitu gani hupendelei ( huku akimuita muhudumu na kuagiza mvinyo wa zabibu au red wine) , haaaaa wine ya nini tena ? , we subiri , kwani we unakunywa wine , nitajaribu , mbona hapa ulikunywa marta au we mlevi unanificha , hapana subiri nataka nijaribu leo , mhhhh mi simo wala sitatumia , ok turudi tulipokua nimekuuliza hupendelei , sipendi majungu uongo usaliti nadhani hayo yanatosha , na kuhusu rangi whats your favourity colour , pupple , waaaaao puple nice , vipi una mpenzi , mmmmmmmmmh probably no mi bado mtoto bwana , kwa hiyo bado, yah sure, kwani huna mpango wa kuwa naye ,labda baadae nikikua kwani mama aliniambia sitakiwi kuwa na mchumba hadi nimalize shule kwani aliniambia mapenzi yanaua na mimi sitaki kufa sasa hivi. Hayo yalikua ni majibu ya kitoto ya Martha kwani hakujua chochote kuhusu mapenzi na alilelewa familia yenye maadili mema Siku ilifika kweli na Vatican alijipanga kukutana na mrembo Martha kwanza akanunua chocolate ya arpella na maua ya waridi mazuri kisha akavaa nguo zake mpyaa alizichukua hussein pamba kali ili kumfurahisha Martha , Vatican alivalia shati ya mikoni mirefu nyeusi jeans yake ya bluu saa nyeusi na kiatu cha clipper nyeusi Martha alinawiri vibaya mno kwa kuvaa gauni la pink lililombana kwenye hips na lilikua fupi likiishia mapajani na mkoba wa pink pia walikutana JB belmont hotel aisee Vatican alijitoa heri amalize hela yake yote kuliko kumkosa Martha. Alipofika tu Vatican kwa mkwala mara akatoa Ua kwanza na kumkumbatia huku akimvutia kiti akae kisha alipokaa tu akampatia arpella ooh arpella I like it thank you alisema Martha , Vatican naye hakusita kumsifia Martha kwa vazi lake alilokua amevaa ooh umependeza kweli kweli zaidi hata ya malkia wa uingereza ( huku akitia nakshi nakshi maneno yake) , ahsante , mnmmnmnh sijui utatumia nini leo soda, bia , maji ama nini , we mi bia situmii bado mtoto, mhhh kwani hua mnasema ukweli huku (akimuita muhudumu) , nipatie Malta na huyu mrembo sijui hebu muulize , mi naomba alvaro apple ,  wakaagiza kila walichokihitaji hadi chakula kisha Vatican ndio akaanza kuongea. Jamaa Vatican alikua kajipanga aisee msosi ulikua wa maana sana hapa chips, huku kuku, pale sandwich meza imechafuka vibaya kwa vinywaji nadhani waliagiza ili wasirudie kabisa kwa kuwa ilikua ni vinywaji kama kumi kwa kila mmoja Vatican naye sijui alijua mambo yote yataisha siku hiyo hiyo kwani alikua tayari ameshalipia na chumba kwenye hotel hiyo haya sasa ulikua ni muda wa kumwaga mchele kwa kuku kuona kama atakula ili kumkamata kirahisi na kumchinjia mgeni.mambo yakaanza hivi kwa vatican , unakionaje chakula , ooooh kiko poa kabisa , unajua hii hotel mi naiaminia hapa mjini ndio inaongoza kwa msosi na huduma nzuri , hee kweli kabisa yani msosi wao hadi nime enjoy kweli, kweli , vp we hua unapendelea nini , mhhhh mimi napendelea kusoma kutoka out na marafiki kuchart na mhhh nadhani ndio hayo , kulala je ,hahahahaha (akacheka) that is a part of life , ahaaaa yah its true kweli ni part of life , je vitu gani hupendelei ( huku akimuita muhudumu na kuagiza mvinyo wa zabibu au red wine) , haaaaa wine ya nini tena ? , we subiri , kwani we unakunywa wine , nitajaribu , mbona hapa ulikunywa marta au we mlevi unanificha , hapana subiri nataka nijaribu leo , mhhhh mi simo wala sitatumia , ok turudi tulipokua nimekuuliza hupendelei , sipendi majungu uongo usaliti nadhani hayo yanatosha , na kuhusu rangi whats your favourity colour , pupple , waaaaao puple nice , vipi una mpenzi , mmmmmmmmmh probably no mi bado mtoto bwana , kwa hiyo bado, yah sure, kwani huna mpango wa kuwa naye ,labda baadae nikikua kwani mama aliniambia sitakiwi kuwa na mchumba hadi nimalize shule kwani aliniambia mapenzi yanaua na mimi sitaki kufa sasa hivi. Hayo yalikua ni majibu ya kitoto ya Martha kwani hakujua chochote kuhusu mapenzi na alilelewa familia yenye maadili mema ya kikristo na hakuwahi kujifunza chochote kwani kwao alikua geti kali yani kutoka nje ilikua ni kwenda shule au kanisani tu na kurudi hivyo hakuwa na mazoea na watu zaidi ya wazazi wake. Vatican alikua bado hajasema hasa nia yake kuu ila sasa aliamua kuonyesha upendo kwa njia nyingine katika hotel hiyo siku hiyo kulikua na onyesho la wazi la wasanii wa kizazi kipya, Vatican na Martha walikula na kunywa vinywaji vyao haraka haraka na vinywaji vingine wakaacha si unajua kizungu zaidi hakuna kumaliza ili wahudhulie onyesho hilo lililokua ndani ya ukumbi wa hoteli hiyo, kabla hawajaenda waliingia kwanza kwenye chumba cha michezo huko Vatican hakuacha kuonyesha ufundi wake huku akiwa amemkamatilia kiuno Martha. Vatican alimfundisha Martha kucheza pool table, wakaenda kucheza mchezo wa magari ya kuteleza kurusha vitufe (bowling) kulenga shabaa na michezo mingine mingi. Katika safari zote zile Vatican alibeba DOMPO yake au wine aliyoagiza muda ule sijui nia yake ilikua nini hadi kutembea nayo. Masaa yalikatika na ilikua inaelekea usiku hapo wakaingia ndani ya club iliyokuwepo kwenye hotel hiyo ambapo ndio kulikua na shoo wao walienda na kukaa peke yao kaunta ya juu kwenye makochi na kuanza kuongea Vatican kwa uchokozi huku kamshika paja Martha kisha akaingia msanii kuimba watu wakaanza kucheza Vatican alipomwambia Martha waende kucheza Martha alikataa na kudai hajui kucheza hapo ndipo Vatican alipochukua jukumu la kufungua kitoa aibu chake yani wine na kuinywa kidogo kisha akaingia dancing floor kucheza Martha alicheka kwa staili alizokua anacheza Vatican yani ilikua ni vituko hadi Martha akaona aibu na kuamua kwenda kucheza naye ayayayayaya Vatican kama alifunguliwa upya na hivi mishipa ya aibu ishakata daaah alimbamba Martha kiukweli kweli ulipofika muda wa muziki wa taratibu ndipo Vatican akatingisha kiberiti ki hivi
 ya kikristo na hakuwahi kujifunza chochote kwani kwao alikua geti kali yani kutoka nje ilikua ni kwenda shule au kanisani tu na kurudi hivyo hakuwa na mazoea na watu zaidi ya wazazi wake. Vatican alikua bado hajasema hasa nia yake kuu ila sasa aliamua kuonyesha upendo kwa njia nyingine katika hotel hiyo siku hiyo kulikua na onyesho la wazi la wasanii wa kizazi kipya, Vatican na Martha walikula na kunywa vinywaji vyao haraka haraka na vinywaji vingine wakaacha si unajua kizungu zaidi hakuna kumaliza ili wahudhulie onyesho hilo lililokua ndani ya ukumbi wa hoteli hiyo, kabla hawajaenda waliingia kwanza kwenye chumba cha michezo huko Vatican hakuacha kuonyesha ufundi wake huku akiwa amemkamatilia kiuno Martha. Vatican alimfundisha Martha kucheza pool table, wakaenda kucheza mchezo wa magari ya kuteleza kurusha vitufe (bowling) kulenga shabaa na michezo mingine mingi. Katika safari zote zile Vatican alibeba DOMPO yake au wine aliyoagiza muda ule sijui nia yake ilikua nini hadi kutembea nayo. Masaa yalikatika na ilikua inaelekea usiku hapo wakaingia ndani ya club iliyokuwepo kwenye hotel hiyo ambapo ndio kulikua na shoo wao walienda na kukaa peke yao kaunta ya juu kwenye makochi na kuanza kuongea Vatican kwa uchokozi huku kamshika paja Martha kisha akaingia msanii kuimba watu wakaanza kucheza Vatican alipomwambia Martha waende kucheza Martha alikataa na kudai hajui kucheza hapo ndipo Vatican alipochukua jukumu la kufungua kitoa aibu chake yani wine na kuinywa kidogo kisha akaingia dancing floor kucheza Martha alicheka kwa staili alizokua anacheza Vatican yani ilikua ni vituko hadi Martha akaona aibu na kuamua kwenda kucheza naye ayayayayaya Vatican kama alifunguliwa upya na hivi mishipa ya aibu ishakata daaah alimbamba Martha kiukweli kweli ulipofika muda wa muziki wa taratibu ndipo Vatican akatingisha kiberiti ki hivi 

0 comments:

Post a Comment