SIRI HUFICHULIWA NA MJASIRI WOGA UKIKITHIRI 14
SEHEMU YA 14
ulipofika muda wa muziki wa taratibu ndipo
Vatican akatingisha kiberiti ki hivi , hivi Martha unaionaje siku ya leo , ni
nzuri ahsante kwa kunitoa out ni my first date ila nime-enjoy , poa hivi ni
mwanaume wa aina gani we unapenda uwe nawe , mmmh awe mrefu mwenye umbo
handsome anapenda kuongea na sifa nyingine , hivi ukiniangalia mimi sina sifa
hizo , unazo we ni mrefu handsome charming , hivyo nafaa kuwa na msichana kama
wewe , yaah unafaa ila sio mimi , kwa nini , you are my friend , hivyo tu , yah
thats all , kwani upande wa pili mi siwezi kua mpenzi wako , nooo Vatican noo ,
kwa nini , hapana tu , Martha nisikilize vizuri since the first day nimekuona i
fell for you na sina jinsi yote haya nimefanya kwa kuwa nakupenda na si rafiki
kama unavyofikilia Martha i love you i love you so much will you be my girl
please Martha. Martha hakuwa na jibu na ghafla alimwachia Vatican na kuondoka. Martha alirudi na kukaa pale kwenye kaunta ya juu Vatican naye kwa
haraka alimfuata na kwenda kukaa naye Martha alianza kulia na Vatican akaanza
kumnyamazisha , Martha please i am sorry sijui kama ungeipokea hivi , please
naomba uniache (huku akiendelea kulia) , siwezi kukuacha tumekuja pamoja sikia
Martha kunipenda mi sio lazima leo na sina haraka sana sikia utakapokua tayari ndio
unaweza kunikubalia mimi nilikua natoa kilichopo moyoni mwangu sikia eeeh
sikulazimishi eti sa hivi ndio unipende muda wowote utakapokua tayari na ukakaa
ukawaza kwamba unipende au usinipende hayo yatakua mawazo yako hivyo we ndio
mwamuzi mi sikulazimishi i am still your friend right (Martha hakujibu kitu)
please say it I am sorry to play with
your feelings i am sorry Martha friends (huku akimpa mkono) Martha naye akampa
mkono na kuitikia kwa kichwa kama ishara ya kukubali kisha wakanyanyuka na
kukumbatiana huku Martha akilia tu Vatican akiwa kamkumbatia akamtuliza huku
akimpet pet mgongoni Martha. Sasa walirudi kwenye meza yao na Vatican akaanza
kucheza mchezo unaitwa mind game kwanza alimshawishi Martha anywe mvinyo kidogo
Martha alikataa na kusema hua anywi pombe Vatican alikunywa kidogo kisha
akamwambia Martha kua sio chungu na ajaribu tu kweli Martha akajaribu na kama
unavyojua bandu bandu huisha gogo na safari moja huanzisha nyingine ndivyo
ilivyokua kwa Martha kosa la kunywa mara moja tu hakuacha kunywa tena mara
nyingi aisee alilewa chakali na hapo akaanza tu kuropokaropoka kwa sauti kubwaa
mara oooh Vatican ananipenda Vatican ananipenda hahahahahaha. Vatican kwa kuona
Martha anamuaibisha haraka alimchukua na kumpeleka kwenye kile chumba alichokua
amekilipia kisha akamwacha Martha humo na yeye kutoka nje kwanza aliporudi
alikuta Martha tayari kishalala aliwaita wadada waliofanya kazi hapo na
kuwaacha wakimbadilisha Martha nguo Kisha wakamuacha
wamemfunga taulo tu na kumlaza kitandani kwa kuwa alikua amelewa sana Martha hakuweza
hata kutambua yupo wapi kisha Vatican akacheza tena mchezo wa mind game hapa
alilala sebuleni na Martha akalala kitandani kisha asubuhi sana kabla
hakujakucha Vatican haraka alikwenda kitandani alipolala Martha na kulala pale
na kujifunika shuka kama alikuwepo pale usiku mzima.
Hakufanya chochote ila ilikua ni mind game tu kwa Martha . Martha alipoamka
akashituka kufunua shuka tu akajikuta kalala na Vatican wee kwanza alipojikuta
tu ana taulo Martha akajua tayari kitu cha kwanza ilikua ni kujishika na
kuhakikisha kama kweli Vatican hakuharibu chochote ila akawa hajiamini bado ana
hofu kitu cha kwanza ilibidi amwamushe Vatican . Wewe wewe Vatican , Vatican ,
mhh mhh , amka , oooh Martha mambo , sitaki mambo yako pumbavu ( huku akimpiga
kibao Vatican na Martha akaanza kulia) umefanya nini ,nini mbona sikuelewi ,
Vatican i trust you kama rafiki yangu then hiki nini umenifanyia did you do
that Vatican please niambie , Vatican hakusema kitu Martha kwa kuwa hakuwahi
kufanya mapenzi hata siku moja hakujua maskini hivyo mawazo yake yote yalimtuma
tayari Vatican alivunja kikombe tena na hivi Vatican hakumjibu kitu Martha
alijua kwamba ni kweli akaanza kulia na kumlaumu Vatican akisema Vatican
umenibaka umenibaka Vatican najuta kukuamini kwa nini kwa nini nilikuamini,
Martha alichukua nguo zake na kuondoka huku akilia na kukimbia hapo ndipo
Vatican kama alishituka na kuanza kumkimbiza Martha huku akimuita Martha
alikimbia na kuondoka alipofika nyumbani alipokua anaishi alianza kulia ndugu
yake Mary aligundua na kumuuliza Martha alimwambia kila kitu sasa kwa kuwa Mary
hakuwa na uwezo wa kutunza siri aliwapigia simu wazazi wake na Martha na
kuwaeleza ukweli wote
Wednesday, October 07, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment